Waarabu wana nguvu Iringa

Mtoa mada tafadhali sana waombe radhi wahehe, labda kwakuwa umefika Iringa kwa muda mchache
hujapata fursa ya kufanya utafiti ili kupata jibu sahihi kabla hujamimina shutuma zako humu...
Wahehe ni watu wasiopenda kudhalilishwa...hapo utakuta usemi wao maarufu "mgala sida" yaani sina shida
hata kama utamuona mtu ni hohehae hayupo tayari kunyenyekea ili alipwe/ labda hili ndilo linawafanya wasiendelee
kibiashara kwani dukani kwa Mhehe wauzaji hawajui kusema "karibu" wala "sema unakiasi gani nikuuzie" kwa ufupi kwao customer care yao ni ndogo sana ndiyo maana utaona Wachaga wanatamba eneo la Miyomboni(katikati ya Mji wa Iringa)
Huwezi kuwaita "wajinga" maana wao ni miongoni mwa majimbo machache yaliyoikataa ccm kwenye uchaguzi
uliopita...Wafadhili wakubwa wa ccm ni hao "Waarabu" M/kiti wa CCM wilaya ni mtumishi wa Waarabu...
Kama usemi wako ni kweli kuwa Wahehe wanawanyenyekea waarabu basi CCM ingeshinda uchaguzi...
Tafadhali waombe radhi, kwakuwa umeropoka bila ya kufanya utafiti
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????

Kwa hiyo mnatuambia watu wa moshi ni wajanja sana sio...hahahahahaha ama kweli mkiambiwa watu wa moshi ni wakabila na wadini msibisheee mnajisuta wenyewe wazee wa.....
 
Kinachonipa shida sio utajiri wa uliowataja bali ni chanzo na asili ya utajiri wao. Wengi wa waliotajwa Kama sio wote ni majangili wa pembe za tembo na Vipusa. Hivi kweli kwa kushabikia majangili tutaondokana na umaskini? Hivi vyombo vyetu vya ulinzi kwanini havijihusishi na kusafisha jamii ili wanafuata sheria waheshimiwe? Grrrrrrrrr
 
Siku zote mji uliko kaliwa na waarabu au waburushi wenyeji wanakuwa hawana maendeleo

Dar-es- salam nani walio asisi kama sio waarabu -wao ndio waliona potential ya Daresalam mpaka leo ndion mji mkuu wa kibiashara Tanzania

Waarabu si wageni Tanzania na hawana haja ya kuomba mtu ruhusa ya kuishi hapa. wao ni kama wabantu wote walihamia hapa miaka mingi iliopita , hata wabantu pia hapa sio asili yao bali walihamia hapa. Na hii ni kawaida ya katika nchi zote duniani watu huhama na kujijenga pale wanapo pata maisha bora.
 
hiyo ya mji kukaa juu sijaridhika,kwani wenyeji wanashindwa kujenga mji wa kisasa pale chini inakopita barabara kuu??ni watu wangapi wanapita pale wanashindwa kupumzika na hakuna mahali pa kupumzika???kwa mtazamo wangu waarabu ni wafuga majini na ndio wanasababisha mji uendelee kuwa maskini,angalia mbeya jinsi inavyokuwa kwa kasi ya ajabu,,kuna kitu bana!!!

Wewe ni kiazi kabisa,nilidhani una point za maana kumbe chuki tu kwa warabu'
 
kwanza ndugu mtoa mada hujaenda ndani katika masuala ya watu wa iringa.waarabu wa kwanza iringa ni wazee wa asas na fm abri.wote hawa kabila moja na ndugu wa karibu sana.nilisoma na mtoto wa asas na fm o level.waliniambia wazeze wao walikuja toka uarabuni maskini saana.wakaanza maisha isimani na sahv ni moja wa matajiri iringa na southern tanzania.wahehe si watu wabiashara saana lkn huvutwa nyuma na ulanzi na ulevi mwingine.mfano mi nipo hapa gangilonga kuna baa 13 kubwa,na wakazi wa hapo gangilonga hawazidi 6000
Kwa hesabu yako watu 6000 kugawa kwa baa 13 unapata angalau watu 460 kwa kila baa!!! aisee huko kuna biashara nzuri !!! :shock:
 
Huyo mleta mada nadhani ukabila na dharau vinamsumbua! Mji sio lazima uendelezwe na wazawa kwani huoni dhahabu na madini wanachukua wazungu na makaburu? Basi wafukuze na wazungu waliojenga shule na viwanda kule kwenu kilimanjaro, mbona ndio mnawagaia ardhi kila kukicha? Mbona mnakimbilia kuwapokea na kubeba mizigo yao kupanda mlima na mkirudi mnaishia kwenye viroba na mbege? Mbona mnawatumikia wazungu na kukazana kujifunza viingereza uchwara ili wawape dili hata ya udereva? Siku nyingine uwe makini kabla ya kuropoka, nahisi unatabia za wanasiasa wa upande fulani huwa wanaropoka kama wewe, unakuta umeme hakuna yeye anakujibu mimi sio mungu! Jifunze kufikiri kwa ufasaha.
 
Dhahabu ya geita inachimbwa na nani? Mashamba makubwa ya kahawa na chai yanalimwa na nani? Ufugaji mkubwa na wakisasa unafanywa na nani? Kama ni matajiri wazawa unaowaita ndio wale wakina Alex Masawe? Kina Laswai? Na Felix Mrema? Babu Sambeki? Kama wote tungeamua kutafuta hela kwa njia mnazopitia nyie wenzetu sidhani kama tungekuwa na taifa lenye usalama. Unataka tutafute pesa kwa visu? Kama ni shule hata mkoa wa iringa ni wa pili kwa shule nyingi na wamesoma wengi sana, kama ni kukaa vitengo watu wametulia hawana madharau na ubaguzi na majigambo ya kipuuzi kwa kulewa bia kila saa, hata asubuhi unakaa bar! Kama ni kusaka hela wahehe wanazisaka kwa sana tu ndo maana idadi kubwa ya wanawake wa kichaga wanataka kuolewa na makabila mengine sababu yenu mnang'ang'ania kuwakimbia wake zenu mwaka mzima akae na baba mkwe, anakula mzigo unabaki kulea mimba ya babako kwa mkeo! Hapo nadhani ni utaratibu tu wa maisha kila mtu na style yake. Punguza majigambo na dharau kwa watanzania wenzio maana kila mkoa una historia yake na tamaduni zake. Mnakaa kuwasema wamakonde na watu wa lindi mnajua chanzo cha maisha yao kuwa vile? Na mbona wako poa tu na life yao? Na rais walitupatia? Mbona haufanyi tafakari ya kina?
 
shujaa ni mhehe .wach*ga hawa leo wanatukana watu baba zao walikua wezi .serikalini wapo kila idara ndio walarushwa.
 
MTANDI mwenye embalasasa motel na kampuni yaukandarac, KAUNDAMA mwenye kalenga motel na maduka yajumla jumla pamoja na magari makubwa yausafirishaji, LUVINGA mwenye m.r hotels, MKWAWA mwenye hillpot hotels, NYAGAWA mwenye mabus ya upendo na budget, MFUGALE mwenye kituo cha radio ebony fm na hotel kubwa pale dar mitaa ya posta inaitwa pcock hotel, hao niwachache 2 kwa harakaharaka.

EMBALASASA: hoteli mbaya na chafu.
KAUNDAMA: sasa huyu si muuza duka tu? Tena naskia alitapeliwa akawa maskini kwa ajili ya tamaa.
NYAGAWA;. Mbona tunaskia mabasi ya Upendo yanamilikiwa na ukoo mzima?
MFUGALE: sasa peacoc hotel Dar inawasaidiaje wana Iringa? Halafu hiyo ebony kazi Yao kuiga clouds fm.
LUVINGA: sasa hiyo hotel ya MR yenye gorofa tatu na ukubwa ambao hata haimalizi robo acre ni hotel ya kujivunia kweli?
 
Iringa na Moshi Tofauti...Iringa Pagumu kuna Daraja Kubwa la Maskini na Tajiri

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Iringa na moshi nianavyo mi hiyo mikoa haina tofauti ya kimaendeleo,mhehe na mchaga ni makabila tofauti ambayo yana tamadun tofaut,mhehe ni shujaa ktk nchi hii ,piri suala la iringa kuwa na waarab na raia wengine ni la kawaida,sasa mtoa mada alitaka wahehe wawafukuze waarab na wagirik na waburushi?
 
Mji mbona uko poa tu au we unapaonaje? Matajiri ni kweli wapo waarabu ila sina uhakika unaposema wao ndio wameshika uchumi although wanachangia kwa kiasi kikubwa ila miradi yao inatoka nje ya mji kama Asas Dairy, Dabaga fruits, na wengineo.

Sijajua unataka wawafukuze vipi wakati kuna matajiri wamekimbia biashara zao wamebadilisha na wapo dar, mfano S.T. Abri marehemu alikuja dar na biashara kabadili anafanya real estate, iringa kinatuangusha kilimo ila mbona hujasema mbao biashara ya matajiri wahehe? Mbona hujaona chai? Tena ya muhehe kiwanda?

Na vingine vingi sana, unahitaji kuelewa kuwepo kwa waarabu wachache hao kina Huwel tena hata uarabuni wengi hawana ndugu huyu unaemtaja mama ni mswahili, waarabu wenzie wakamtenga ndo tumfukuze aende wapi? Just be reasonable! Biashara hata wakazi wenyewe wamezihamishia dar, njo kkoo uliza, nadhani ni vizuri ufanane na hiyo ID yako!
Punguza jazba kijana, usije ukaenda kujinyonga kisa hii mada.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom