Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
KAtika kile kinachoonekana kuchoshwa na longolongo za Serikali, waalimu 246 Wilayani Handeni wamegoma kuingia madarasani kufundisha na wameaapa mgomo unaendelea mpaka watakapolipwa stahiki zao. Hawa ni walimu wa wilaya mzima na leo wamevamia ofisi ya Halmashauri kutoa mwelekeo wao.
Kazi ipo mwaka huu
Kazi ipo mwaka huu