Waalimu Waungana na Madaktari katika Mgomo

Kitu kimoja ambacho walimu wanapaswa kujifunza kutoka kwa madaktari ni kutoyumba wanaposema wanagoma. Walimu wanachezewaga na serikali kwa kua wanajulikana ni watu wa kutishia nyau na nidhamu yao ya uwoga.

Ilipaswa hapa ngoma inaunganishwa bila kujali maswala ya notisi ya siku 90 wala nini. Lakini wakina Mukoba bado hawajachelewa

Ni kweli ndugu Mshenzi lakini walimu wabadilishe sababu ya mgomo!Madai yao wala isiwe ishue kwakuwa ni rahisi sana kujibiwa kisiasa kuwa "fedha zimekuja halmashauri kwahiyo tupo kwenye mchakato wa hazina na benki kuona namna tutawahi kuwapatia...".Let say wamelipwa hayo madeni,is that all?Mshahara unawatosha?Mazingira ya kazi mazuri?Vifaa vya kufundishia vipo?Waraka kandamizi wa kuminya maslahi yao pale wanapoupgrade wameridhika nao?Yani ni kweli kuwa mwalimu wa Tanzania anakero moja tu,madeni?Ninachokiona kwa walimu ni ukosefu wa ushirikiano miongoni mwao na kuwaamini mno CWT.CWT wamewafanya walimu nao kusahau shida zao zote na kuconcentrate kwenye madeni tu!Kimegeuka kuwa chama cha madeni ya walimu na wao hawalioni hilo.Naunga mkono mgomo lakini ni ule ambao ukiisha positive change inaonekana.Na hapa mgomo huo lazima uwe genuine.
 
Ni uupuzi tu kwa taarifa yenu nyie visonoko nchi itatawalika tu hata kwa ngumi... Wengi wenu humu mnapenda kuona migogoro na pale sululu inapopatikana hampendi mnasema waoga hao mara wametishiwa nyau wakakubali, hata hawa madaktari wakisitisha mgomo mtawasema vby!! Uzuri wote tupo kwenye meli 1 hatatoka mtu kwa yale mnayoyataka. Ni upole tu wa rais wetu ndo kisa WAJINGA kuongezeka kwenye nchi hii.
 
Ni uupuzi tu kwa taarifa yenu nyie visonoko nchi itatawalika tu hata kwa ngumi... Wengi wenu humu mnapenda kuona migogoro na pale sululu inapopatikana hampendi mnasema waoga hao mara wametishiwa nyau wakakubali, hata hawa madaktari wakisitisha mgomo mtawasema vby!! Uzuri wote tupo kwenye meli 1 hatatoka mtu kwa yale mnayoyataka. Ni upole tu wa rais wetu ndo kisa WAJINGA kuongezeka kwenye nchi hii.

Eh! Rais mpole ndiyo maana wajinga wamekuwa wengi? That's newsworthy! Ukiona wajinga kwenye nchi ni wengi ujue serikali na rais wote ni wajinga nao. Huwezi kuwa mwerevu halafu ukakubali ujinga uongezeke, ni lazima na wewe uwe mjinga.
 
Tulikua tukitarajia hili kutokea na wengine tukaionya serikali lakini bila ya mtu yeyote kuonekana kutusikiliza. Idadi ya wadau wa ajira serikalini sasa kuongezeka zaidi kote nchini.

KAtika kile kinachoonekana kuchoshwa na longolongo za Serikali, waalimu 246 Wilayani Handeni wamegoma kuingia madarasani kufundisha na wameaapa mgomo unaendelea mpaka watakapolipwa stahiki zao. Hawa ni walimu wa wilaya mzima na leo wamevamia ofisi ya Halmashauri kutoa mwelekeo wao.

Kazi ipo mwaka huu
 
ndugu sitaki apa...kuna watu malikimbia umande kama prof majimarefu et all,alaf leo dr ulimboka alipwe lak9 na hawa jamaa wajipe posho!hapana!

MKUU!

Umenikumbusha huyo anaye jiita Prof Maji Marefu wakati tunasoma naye. Jamaa alikuwa hajui kusoma wala kuandika. Mwishowe akaamua kuingia mitini akiwa darasa la tatu. Baade akaibukia uganga wa eti wa kutoa uchawei. Basi akajileta kijijini kwetu mitaa ya Upareni huko akiwa amemkata kichwa paka. Wee bwana, wapare walimtoa berenge bin baru. Jamaa alitimka sijawahi kuona katika dunia hii.

Eti leo ndio anaenda kulamba 330,000/= kwa siku???? Imefika mahali waTz tuamke sasa. Ni muda wa kupinga haya mambo kwa nguvu zote.

Nawasilisha.
 
Jamani kuuliza si ujinga, hivi mishahara ya watumishi wa serikali inalipwa kama inavyostahili?.
 
Ni uupuzi tu kwa taarifa yenu nyie visonoko nchi itatawalika tu hata kwa ngumi... Wengi wenu humu mnapenda kuona migogoro na pale sululu inapopatikana hampendi mnasema waoga hao mara wametishiwa nyau wakakubali, hata hawa madaktari wakisitisha mgomo mtawasema vby!! Uzuri wote tupo kwenye meli 1 hatatoka mtu kwa yale mnayoyataka. Ni upole tu wa rais wetu ndo kisa WAJINGA kuongezeka kwenye nchi hii.

Upole wa raisi wenu makusudi ya rais wenu.mbona nyie magamba munalazimisha hata yale yawazi munataka tuwapende hata mukifanya mabaya?
 
Back
Top Bottom