Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Ni kweli TZ ina rasilimali kibao nje ya nchi ambao wanaweza kurudi na kushiriki vyema katika Ujenzi wa Taifa. Tungekuwa na vijana angau kumi wenye uchungu na taifa lao, ambao wanaweza kuungana kumsaidia Dr. Slaa, Mwakyembe na wengineo katika mapambano katika ukombozi, kamwe Tanzania isingekuwa au isingeitwa nchi masikini tena. Wana Jamvini, tunawaomba mpendekeze majina Ishirini yenye influence ambayo yanaweza kuleta mabadiliko nchini kwetu.
Nitaanza na
1. Dr. Shaban Nzori, Russia
Nitaanza na
1. Dr. Shaban Nzori, Russia