Vyuo vikuu wampendekeza January Makamba kuwa Rais ajaye

umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu unaongozwa na nani, na maoni kutoka kwa wanafunzi yalikusanywa lini na wapi na nani...coz mi nipo chuo na hii habari cjaitolea maoni??????/?????
 
Hakika Tanzania tunao waliosoma wengi tu,Lakini hawajaelimika.jamani kwani kuwa msomi ni kuwa na cheti,picha yenye hood kichwani wakati wa kupokea KARATASI?Mfuatilie muanzilishi wa kampuni ya Honda Jaapan....Kwa kutojitambua kwao wanaojiita wasomi wa nchi hii,kimbilio lao wapi?SIHASA!
 
Nilisema wameenda nunuliwa ktk sehemu moja na CCM as a bunh... kweli leo naona habari tulizotegemea.Ndio vyuo vyetu vinavyofundisha.
 
Hawa wanaojiita na kuitwa wasomi ndiyo balaa kubwa la Taifa hili. Wamekuwa ni Janga la Taifa. Hawana uwezo wa kufikiri vizuri, hawana uwezo wa kutafakari na kutafakru mambo kwa kina. Hawana uwezo wa kuchanganua mambo muhimu na kutoa muelekeo wa Taifa lao. Swali dogo tu! Wanaujua uwezo wa January Makamba? Wanaijua historia ya Yake? Wanadhani Rais wa nchi ni sawa na Rais wa chuo. Tatizo la Wasomi wa Taifa hili hawajui kwa nini wako shule! Kwa nini Wanasoma, hawajui kabisa. Wengi wanafikiria Starehe na maisha yao binafsi, wanafikiria kuajiliwa au kupewa kazi na rafiki zao au ndugu zao. Kwa kifupi ni kwamba wanatumika tu. Lazima hawa vijana watambue na waelewe kwamba Urais ni taasisi, si kijiwe cha cha kunywea kahawa na kupigia stori za utotoni na ujanani. Eee Mungu Wasaidie. Hawajui watendalo. Njaa pia zinawasumbua, kama ni njaa, tafakarini kwa nini mna njaa, siyo kuja na hoja ambazo naamini hamuwezi hata kuzijengea hoja.
 
Hawa wasomi si ndio walisema wana-msapoti LOWASA kule dodoma?
Sasa hawaaminiki tena, matamko ya wasomi kila siku tumechoka, wamekuwa kama waganga wa Kinyeji.
Wapuuziiii
Kwaufupi nyie wasomi WASIRA ndio habari ya mujini....
 
badala ya kujadili mambo ya msingi ya elimu yao wanayoiita ya juu wakati sasa ni ya chini ya kiwango, wanaendelea kutudhihirishia kuwa elimu imeshuka hadi kufikia wanachuo wengi kukosa upempuzi yakinifu. poleni sana vijana ila mmetimiza kazi aliyowatuma , sijui kawapa kiasi gani! na sijui boom mtapata lini baada ya kufungua vyuo!
 
Duuh usomi wa Tanzania unakuwa ni balaa sasa. Je, ni kwasababu mfumo wetu wa elimu ni mbaya kiasi hicho mpaka wanaojiita wasomi kukurupuka hivyo? Kwa msomi aliyebobea hawezi kuja na kichekesho cha namna hii. Msomi anapaswa kufanya utafiti kwanza. Msomi gani anapiga kura ikawa ndiyo jibu lake? Msinivunje mbavu ninyi ha ha ha ha. Msomi lazima afanye utafiti kwa jamii ni mtu gani anayekubalika na mwenye sifa. Sifa zipi mizowapelekea wananchi? Mmetumia aina gani ya utafiti? au ndiyo huo mliosema mmepiga kura? Wasomi hatupigi kura tunafanya utafiti na kuja na majibu yatokanayo na utafiti yawe mabaya kwa upande wetu au mazuri. Futeni neno msomi kama mnataka kuendelea na pendekezo lenu.
 
Hawa vijana ni wachovu mno, wamekosa maswala ya kujadili kuhusu wanafunzi wanaokosa mikopo ya shule na mazingira bora ya wao kujifunza ili wawe wasomi wa ukweli wanapoteza muda kujadili nani awe rais hadi kufikia kupiga kura? Kwanza ningependa kujua hicho kikundi ni cha viongozi wa vyuo gani, maana hata CCM wana uongozi wao wa vyuo vikuu na nidhani ndo uliotoa Tamko hilo.
 
Eeeh! BABA MUNGU MWENYEZI, MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI, NAKUSHUKURU KWA KUNIJALIA AFYA NJEMA NA AKILI TIMAMU MPAKA DAKIKA HII.
NAKUOMBA UZIDI KUNIJALI AFYA NJEMA NA NISIPOTEZE KITAMBULISHO CHANGU CHA KUPIGIA KURA DAIMA, ILI IFIKAPO 2015 NIZUNGUMZE NA SANDUKU LA KUPIGIA KURA TU. Amiina...!!
 
Kuna maraisi wengi kuna rais wa masharobaro,rais wa sinza mariaga,kuna rais wa madalali kuna rais wa mapresenter sam misago kuna poor people's president mchomvu kuna rais wa akudo bella kuna rais wa fm akademia nyoshi sasa huyo january wamempendekeza awe rais wa tegeta?

Hivi babake Sheikh Yahya alikuwa rais wa nini vile?
 
UVCCM siku hizi ndo wanajiita vijana wasomi?!

Hiyo asasi ya kufuta ujinga inabidi iangaliwe upya!
 
kweli elimu ya tz inachezewa,"eti wasomi"
hawa wasomi kweli au ndio kwanza wanatumia madesa,hawajaelimika na kamwe watabaki mambumbu km akili zao ndo zinatumiwa kijinga namna hii....eti wanajiita umoja wa wanafunzi vyuo vikuu.......je hayo ndiyo waliyotumwa.
Kwa taarifa tu,kwenye vyuo vikuu ukitaka kugombea nafasi yoyote ya uongozi halafu ukajulikana upo na mawazo ya kiccm basi ujue hata mtoto wa chekechea anaweza kuja kushindana nawe.....------- zao
 
mmejitaidi wadogo zangu,nyie ni wasomi tarajali maana mpaka sasa nyie ni form six,lakini mnajitaidi walau kuwaza maana wapo wasomi wengi wala hawana habari na nchi.mi ninawashauri pateni kwanza ata hiyo shahada moja mkirudi ya pili ndiyo muanze hizo siasa.maana hapo mnajitafutia maadu mkianza kutembea kumnadi mtu.rejeeni university act inawakataza kufanya siasa mkiwa vyuoni.ninajua nisemalo nami nimekuwa muhanga wa hili
 
Hao ni malaya fulani tu, utabusu picha ya mme wa mtu? kwa lipi wewe mdada? kuna mambo mengine ni ya ukoo, uliza za makambas na ufusika, google kama utataka
 
mi naona hawa maraisi wa vyuo vikuu wanatuaibisha. Tumewachagua kutetea maslahi ya wanafunzi sasa haya mambo ya siasa nani kawatuma? Any way sisi hatujawachagua kwa kuangalia itikadi au niwazur kwa siasa bali kuwakilisha wanafunzi wenzao.hata hivyo ikumbukwe kila chuo ametoka mwakilishi mmoja na hawana uwezo wa kuwaambia wenzao wamchague makamba harafu wakaeleweka. Nadhan kunawaliotumwa.
 
Chuo kikuu, kwa maana gani? sio kila chuo ni chuo kikuu; hakipo kwa maana ya chui kikuu ambacho knaweza kusema January awe rais, NO WAY. January huyu huyu the future minister of minerals???? kweli ahadi ni deni.
 
Back
Top Bottom