Kuna maraisi wengi kuna rais wa masharobaro,rais wa sinza mariaga,kuna rais wa madalali kuna rais wa mapresenter sam misago kuna poor people's president mchomvu kuna rais wa akudo bella kuna rais wa fm akademia nyoshi sasa huyo january wamempendekeza awe rais wa tegeta?
Walitaja Makamba kawalipa sh'ng ngap?? alafu mbeya hakuna UNIVERSITY...!