Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,059
- 10,346
Khaa!! tatizo wasomi wetu wanaleta masikhara sana. Hivi kwanza MSOMI anatakiwa awe na sifa zipi??:bored:Tuheshimu maoni ya WASOMI wetu.
Taifa lisilosikiliza WASOMI linajiandaa kuangamia...
Khaa!! tatizo wasomi wetu wanaleta masikhara sana. Hivi kwanza MSOMI anatakiwa awe na sifa zipi??:bored:Tuheshimu maoni ya WASOMI wetu.
Taifa lisilosikiliza WASOMI linajiandaa kuangamia...
kamanda naona unapiga 'pentagon' tehe tehe tehe tehe.....
Ujumbe muhimu ninaouona hapa ni kwamba WASOMI wetu hawa wanasema CCM ndio chama kinachopaswa kuiongozi Tanzania towards a brighter tomorrow...
Mpaka pale Vijana watakapo kuwa tayari kufanya maamuzi kwa utashi na akili yao ndo watastahili kushiriki uongozi na si kushirikishwa! Ukichunguza hata huo mkutano ni wa "kushirikishwa" kama huamini subiri Tamko baada ya mkutano.
Huwa nawasikia mkisema ccm hakuna vijana wasomi. Sasa mkuu hawa wametoka wapi?
eti hawa ndio wasomi tunaowategemea hayo ni mawazo yenu au ya taasisi mnazoziongoza
Kuna maraisi wengi kuna rais wa masharobaro,rais wa sinza mariaga,kuna rais wa madalali kuna rais wa mapresenter sam misago kuna poor people's president mchomvu kuna rais wa akudo bella kuna rais wa fm akademia nyoshi sasa huyo january wamempendekeza awe rais wa tegeta?
hii tabia ya wanafunzi wa elimu ya juu kujiita wasomi inanisumbua sana, vyama vyao vyote hivyo viongozi wao ni undergraduate halafu wanajiita wasomi!hivi usomi wao huwa ni kitu gani kilicholeta tija kwa jamii, zaidi ya kujumuika kwenye hizo taasisi na kuutafuta huo usomi? Tukirudi kwenye mada huyo waliyempigia kura ameleta mchango chanya upi kwenye serikali? amepitia mapito gani yakuweza kumchunguza kuwa kweli ataweza kuyakabili majukumu ya uraisi, wahenga walisema mkate bila kupitia kwenye tanuri la moto aislani hauwezi kuiva? sasa huyu mtu wao kapitia tanuri gani? URAISI SI LELEMAMA KAMA MADESA NYIE WANAFUNZI MJIITAO WASOMI!
Eti wanataka awe raisi wa Danganyika!