eace:migomo imekuwachachu na msukumo wa mageuzi katika nchi. kupitia Jf tunapenda kuwaalika ni namna gani tunaweza kufanya migomo na maandamano yenye mafanikio.pia migomo itaanza mwezi huu mpaka mwezi wa kumi na mbili na kazi tutakuwa tgumeshamaliza. migomo ya sasa ni lazima tuwe na uwezo wa kuwazibiti vibaka wanaojiita police