Vyuo hua vina matter katika kuajiri?

Vyuo vikuu..?? what is vyuo vikuu by the way? kuna watu wamesoma kwenye TAASISI na wanahold position za ukweli serikalini na makampuni binafsi.
 
Yaaaaaaaaaaaa. wanaangalia sana kwa kufuata list ifuatayo

1. Hubert Kairuki
2.University of Dodoma
3.Sokoine university
4.Mzumbe University
5.Open University
6.University of Dar es salaam
7.Muslim University of Morogoro
7.Teofilo kisanji University
 
napita tu hapa.Ngoja tusubiri human resource managers watoe majibu
 
Vyuo viko kibao tu..ila SAUT,TUMAINI na vingine vya kata kwa kweli,thinking capacity zinakua chini sana,nahisi ni kutokana na waalimu,ambao wanaokotezwa na pia tabia yao ya kuchukua wanafunzi reject wa vyuo vingine!
 
Kwa kusema ukweli naamini ya kwamba chuo kikuu chochote kilichosajiliwa na TCU kinatoa kiwango bora cha elimu. Ila interview nyingi hasa zile za serikalini zimekua zikipima personality ya wanaosahiliwa kuliko competence ya wasahiliwa. Ninajaribu kusema kuwa, kwa upande wa serikalini, probability ya mtu ambae amesoma chuo cha government kama UDOM, SUA, Mzumbe na UDSM, kupata kazi ni kubwa kuliko vyuo vya private. Ila kwa upande wa makampuni ya private, competence na kufahamiana kunamatter zaidi. Wadau siisiffi serikali, wala sina bias yoyote, ila napenda kusema kuwa tume ya ajira inajaribu kuwa fair sana. Usikate tamaa kuomba kazi pindi zinapotangazwa!
 
Vyuo viko kibao tu..ila SAUT,TUMAINI na vingine vya kata kwa kweli,thinking capacity zinakua chini sana,nahisi ni kutokana na waalimu,ambao wanaokotezwa na pia tabia yao ya kuchukua wanafunzi reject wa vyuo vingine!
Acha Ubaguzi wewe, walimu wa Tanzania ndio hao hao leo anafundisha hapa kesho pale, Je Mwalimu mmoja anayefundisha vyuo tofauti wanafunzi wake hawafanani?
Isistoshe ubora wa mwanafunzi unategemea na mwanafunzi mwenyewe Vyuo vyetu vyote stahili ya ufundishaji ni ileile kama unategeea jina la Chuo wewe basi Pole sana.
 
Vyuo viko kibao tu..ila SAUT,TUMAINI na vingine vya kata kwa kweli,thinking capacity zinakua chini sana,nahisi ni kutokana na waalimu,ambao wanaokotezwa na pia tabia yao ya kuchukua wanafunzi reject wa vyuo vingine!
<br />
<br />
SAUT chuo cha kata? Unaakili wewe? Na mi nathani wewe ndio think capacity ndogo sana, umesoma kweli wewe, alafu we ndio uliechangia pumba. Kama umesoma we ulikua unaangalizia tu. na hofia uwezo wa akili yako.
 
<br />
<br />
SAUT chuo cha kata? Unaakili wewe? Na mi nathani wewe ndio think capacity ndogo sana, umesoma kweli wewe, alafu we ndio uliechangia pumba. Kama umesoma we ulikua unaangalizia tu. na hofia uwezo wa akili yako.

Ebwanaee mimi kama mwajiri nachukua jembe la kulimia la ukweli si aina ya jembe na wapi limetengenezwa. Mtumwa mzuri ni yule mwenye afya na anayeweza kunizalishia. je ni chuo gani chatoa watumwa wazuri...teh teh teh. Labda ungejiuuliza hivi mimi jinsi navyojiona je naweza kujiajiri kwa kutumia elimu niliyopata na nina attitude njema ya kuwa mkurugenzi wa kampuni yangu after sometime. Huyu jamaa yafaa ajiamini na ajue kuwa yeye ni bora sana ndipo atafanikiwa la sivyo siku atafika kwenye interview anakuta watu wanasemami bwana nilikuwa cambridge or harvard or oxford anaweza zimia ooh .
 
<br />
<br />
nitafukunyua mpaka nijue ni yupi mwenye sifa za ziada ndio nitamchukua. Najua hawawezi kuwa sawa kila kitu.

sasa hapo ndo ufikirie una mtu wa UDSM na mtu wa chuo kingine kama Tumaini au St Augustine lazima mtu wa UDSM abebe ndoo
 
sasa hapo ndo ufikirie una mtu wa UDSM na mtu wa chuo kingine kama Tumaini au St Augustine lazima mtu wa UDSM abebe ndoo

kumbe ubora sio mtu ni chuo.Ukisoma UDSM we nibora hatakama ulikua unadesa, ila usisoma SAUT we hamna kitu, unafikra kama mtoto wa chekechea,
 
Mtu akisema anasoma Chuo kikuu,
haitaji hata kukitaja kwa jina. moja kwa moja amakuwa anamaanisha UDSM
Nafikiri Tanzania stili tuna chuo kikuu kimoja tu!
 
Ongeeni yooote lakini ni kwamba kazi za siku hizi ni kujuana tu,mtoto wa mjomba,wa bibi,wa shangazi nk.
 
Kuna fani nyingine hazifundishwi UDSM kama Transportation & logistics, Libralianship etc sasa kama vyuo vingine vinatoa degree ktk mambo hayo kwanini watu wasisome na kuheshimika, katika fani kama ya Engineering UDSM ndiyo bado ipo fit na hasa ktk vifaa na Waalimu
 
Ndio vina matter sana ndugu, muajiri anapopokea maombi ya kazi jambo la kwanza kwa vile maombi na yanakuwa ni mengi ni kuangalia vyuo walivyosoma na class au grade walizopata. Wale waliosoma reputable institution mara zote wanakuwepo kwenye first selection, na wale waliosoma vyuo ambavyo havina majina wananafasi ndogo ya kuitwa may be kama class nzuri sana anaweza kuitwa kwa ajili ya interview, hii vilie vile ina apply katika nafasi za kusoma masomo ya juu hususan nje ya nchi.
 
Mfano hai,wizara ya fedha inapenda ku2mia graduates wa ifm,IAA naTIA.
 
Kuna fani nyingine hazifundishwi UDSM kama Transportation &amp; logistics, Libralianship etc sasa kama vyuo vingine vinatoa degree ktk mambo hayo kwanini watu wasisome na kuheshimika, katika fani kama ya Engineering UDSM ndiyo bado ipo fit na hasa ktk vifaa na Waalimu
<br />
<br />
transportation & logistic ipo ndan ya Management science>udsm
 
Inferiority Complex...u need to stop that.

Nenda kwenye Interview ukiwa unajua kabisa kama wewe ndo mshindi. ukienda kama mshiriki utamaliza soli ya kiatu!
 
Ebwanaee mimi kama mwajiri nachukua jembe la kulimia la ukweli si aina ya jembe na wapi limetengenezwa. Mtumwa mzuri ni yule mwenye afya na anayeweza kunizalishia. je ni chuo gani chatoa watumwa wazuri...teh teh teh. Labda ungejiuuliza hivi mimi jinsi navyojiona je naweza kujiajiri kwa kutumia elimu niliyopata na nina attitude njema ya kuwa mkurugenzi wa kampuni yangu after sometime. Huyu jamaa yafaa ajiamini na ajue kuwa yeye ni bora sana ndipo atafanikiwa la sivyo siku atafika kwenye interview anakuta watu wanasemami bwana nilikuwa cambridge or harvard or oxford anaweza zimia ooh .
<br />
<br />
yes ur right
 
Back
Top Bottom