Vyuo hua vina matter katika kuajiri?

Mtu akisema anasoma Chuo kikuu,
haitaji hata kukitaja kwa jina. moja kwa moja amakuwa anamaanisha UDSM
Nafikiri Tanzania stili tuna chuo kikuu kimoja tu!

Usemayo mkuu ni kweli kabisa kwani mwenzako last year nilienda kijijini na katika maongezi na babu yangu akaniuliza siku hizi Mwalimu Nyerere anasaidiwa na nani kuongoza chama cha TANU! Alikuwa anamaanisha katibu mkuu wa TANU siku hizi ni nani!
 
Chukua m2 wa udsm,ifm,IAA na mzumbe wanaosoma mambo ya biashara walinganishe uone ka kuna tofaut.udsm 2ache kujifagilia na wkt 2naangamia wajamen..
 
vinamatter sana, angalia kama udsm na mzumbe, wengi wanapenda sana wachukue watu wa udsm. mfano, kupata chuo cha kufundisha, GPA ya university of dsm wanataka at least three kwenye undergraduate, ila vyuo vingine wanataka at least 3.5. udsm wanaajiriwa kwanza wengine wanafuata.
 
vinamatter sana, angalia kama udsm na mzumbe, wengi wanapenda sana wachukue watu wa udsm. mfano, kupata chuo cha kufundisha, GPA ya university of dsm wanataka at least three kwenye undergraduate, ila vyuo vingine wanataka at least 3.5. udsm wanaajiriwa kwanza wengine wanafuata.
<br />
<br />
ndio kasumba iliojengeka pale chuon kwamba products za ud ni bora kuliko za vyuo vngne ila in reality,2ko sawa wote.
 
kuna rafiki yangu alichaguliwa kwenda UDOM,Akamwaga bibi yake akamwmbia bibi mie naenda kusoma UDOM,bibi yake akamwambia 'jitahidi mjukuu wangu usome mpaka ufike chuo kikuu cha daslam'. .
<br />
<br />
hahahahaha!lol
 
<br />
<br />
ndio kasumba iliojengeka pale chuon kwamba products za ud ni bora kuliko za vyuo vngne ila in reality,2ko sawa wote.
mfano wanasheria, hivi mzumbe na vyuo vingine wanasoma kwa miaka mitatu tu alafu wanaenda law school, udsm wanasoma miaka mnne na ule wa law school ni wa tano, ivi unafikiri tutakuwa sawa? udsm iko juu na wanasheria wa vyuo vingine ambavyo sio udsm ni vilaza wa ajabu. maofisini ni mashahidi wote tunaona.
 
mfano wanasheria, hivi mzumbe na vyuo vingine wanasoma kwa miaka mitatu tu alafu wanaenda law school, udsm wanasoma miaka mnne na ule wa law school ni wa tano, ivi unafikiri tutakuwa sawa? udsm iko juu na wanasheria wa vyuo vingine ambavyo sio udsm ni vilaza wa ajabu. maofisini ni mashahidi wote tunaona.
<br />
<br />
umezungumzia sheria,me co mdau wa hyo bt 2kizungumzia coz za biashara,yan cdhan ka 2ko tofaut na jamaa wa mzumbe,iaa,ifm nk.
 
Vyuo vina mater tusidanganyane.

nafikiri course kwenye vyuo husika ndo zina mater zaidi, huwezi kweli kumlinganisha alosoma udaktari SAUT na yule wa KCMC au muhimbili, au alosoma CIVIL DIT na COET, DIT wako juu sana, ARDHI UNIVERSITY course zake zipo unique, ni aghalabu kuzipata vyuo vingine.
 
Well said.

No please piga upper second ya ukweli au first class kuwa na material ya uhakika kichwani na right attitude. Omba kazi mwonyeshe mwajiri waweza deliver utapata kazi popote. kazi za kushikwa mkono nyingi ni za pesa ya kujikimu tu lakini ukizungumuzia pesa ya ukweli ebwana mzungu hakupi kama ukiwa kilaza lazima utachemsha tu. nadhani vijana vyuoni someni kwa ukweli msidese hamtafika mbali haijalishi upo chuo gani.
 
Wakuu naomba mnijuze, hivi katika swala la kuajiri chuo ulicho soma ni moja ya kigezo, mfano udom nasikia watawapa kipaumbele wale walio soma vyuo vya serikali na vyenye majina. Hio imekaaje huko maofisini? hivi SAUT kinajina? Nawakirisha hoja

Umesema unasoma SAUT? Kwa mtindo huu una haki ya kuwa na hofu.
 
No please piga upper second ya ukweli au first class kuwa na material ya uhakika kichwani na right attitude. Omba kazi mwonyeshe mwajiri waweza deliver utapata kazi popote. kazi za kushikwa mkono nyingi ni za pesa ya kujikimu tu lakini ukizungumuzia pesa ya ukweli ebwana mzungu hakupi kama ukiwa kilaza lazima utachemsha tu. nadhani vijana vyuoni someni kwa ukweli msidese hamtafika mbali haijalishi upo chuo gani.

Kaka naongea hivyo kutokana na experience.Hadi kazi za UN siku hizi ni technical know-WHO.I don't mean to support it but that's the reeality
 
The things is to be competent, haijalishi umesoma wap? on my side nimesoma Mzumbe but siwez kusema Mzumbe ndo the best kuvutia kamba my alma matter, Udsm, Saut, Udom, Tumaini etc usitegemee itakubeba kama hata kuandika cover letter hujui.
proffessional firm interview zinaanzia kwenye pepa, so hata usome wapi kama Hauko fiti uchukuliwi, wanachukuliwa washkaji kibao KPMG, PWC, na other auditing firms wamemaliza IFM tena na Advance Diploma lakini wakaachwa wenye Bachelor udsm na mzumbe na hata University of capetown.
so popote ulipo komaaa.. akikisha unajiandaa vizuri with ur proffessional and your ready for the challenges, coz proffessional company ni mchaka mchaka, hakuna kuleana kama serikalini hela unazipata but kwa jasho, am talkin through experience... am out
 
nafikiri course kwenye vyuo husika ndo zina mater zaidi, huwezi kweli kumlinganisha alosoma udaktari SAUT na yule wa KCMC au muhimbili, au alosoma CIVIL DIT na COET, DIT wako juu sana, ARDHI UNIVERSITY course zake zipo unique, ni aghalabu kuzipata vyuo vingine.
<br />
<br />
hata course za Sua zipo unique sana.
 
Nadhani hapa mtachanganyana sana tu chuo gani kinalipa na idadi ya vyuo nchini. Chuo bora kipo kichwani mwako wewe mtahiniwa kwa sababu wewe ndio utakayethibitisha chuo bora ulichosoma. Ndio maana hata wale waliosoma nje kwa sasa wanapata upinzani mkali toka kwa wazalendo. Mifano mizuri ni vyuo vinavyobadilishana ubora kwa kuchukuliwa wanafunzi wake siku hadi siku. Zamani ilikuwa chuo kimoja tu ni UDSM na ilikuwa ukisoma kwingine unaonekana huna uwezo mkubwa. Kwa sasa hata Open inakimbiliwa na vijana wakati kilikuwa chuo cha wazee. Uhasibu ilikuwa Mzumbe na Arusha sasa IFM nayo inasikika. Hii inatokana na waajiri wanavyopata matunda ya wanafunzi wa vyuo husika. Kwa hiyo ni wewe ndio utakaokitangaza chuo chako sio kusubiri chuo kikutangaze wewe.
 
Chuo sio deal sana the matter iz competence na hii ni product ya jitihada binafsi katika kukamua book,unaweza ukawa UDSM lakini bila kukamua book kisawasawa utaanguka tuu na wa SAUT au MZUMBE aliye jituma atapeta. Jijengee confidence na inajengwa na content kichwani.
 
Back
Top Bottom