Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,716
- 29,071
mkuu NN afadhali umerudisha picha ya Avatar yako. Yani ulipoweka ile nyingine majuz Yani hata kwenye michango yako tulikuwa hatukufeel kama NN mwenyewe. Komaa tu na hii Avatar picture permanently. Heshima yako mkuu!Sie wengine tulioishia form four wala hatuna tetema kabisa.