Hivi vyama vya upinzani vinakatazwa kufungau matawi nje ya nchi?Mbona wapo washabiki wengi CHADEMA huko USA akina mwanakijiji,mwafrika wa kike nk nao wao wanaweza fungua tawi lao huko USA!!
UK TUMEZOEA KUONA MUME WA BALOZI MWANAIDI MJAAR AKIFUNGUA MATAWI KILA KONA...SASA SIJUI HUYU JAMAA HANA KAZI AU VIPI MAANA MWANZO TULIAMBIWA NI MFANYA BIASHARA LAKINI LOOKS LIKE KUFUNGUA MATAWI YA CCM NDIO BIASHARA YAKE SAA ZINGINE NAMUONEA HURUMA HUYU MAMA KUACHA HIGH FLYING LAW CAREER NA KUKUBALI NAFASI HII MAANA SIE WENGINE HATUMPUZISHI KWANI NDIO KESHAKUWA KWENYE SIASA ...
lakini huko Malaysia hali ni tofauti....
mie nina hasira na huyu balozi wa Tanzania pale Uk sijaona kazi anayofanya zaidi ya kuhudhulia vijisherehe vinavyoandaliwa na vijana wa kitanzania wanao beba mabox na kusafisha vyoo.... hivi sisi wengine kina TLP tukimuomba awe mgeni rasmi ktk ufunguzi wa matawi yetu atakubali????
Nadhani na mme wake sasa anajikomba ili wakuu wamuone labda anaweza akala shavu...
""Huu ni wakati wa mapambano kati yetu na nyie madalali (mabalozi) mnaotafuta wateja wa kuwauzia rasilimali zetu""
Mama Maajar ndugu yako LOWASA tumeshamwangusha so kaa ukijua siku zako zinahesabika..
mie nina hasira na huyu balozi wa Tanzania pale Uk sijaona kazi anayofanya zaidi ya kuhudhulia vijisherehe vinavyoandaliwa na vijana wa kitanzania wanao beba mabox na kusafisha vyoo.... hivi sisi wengine kina TLP tukimuomba awe mgeni rasmi ktk ufunguzi wa matawi yetu atakubali????
Nadhani na mme wake sasa anajikomba ili wakuu wamuone labda anaweza akala shavu...
""Huu ni wakati wa mapambano kati yetu na nyie madalali (mabalozi) mnaotafuta wateja wa kuwauzia rasilimali zetu""
Mama Maajar ndugu yako LOWASA tumeshamwangusha so kaa ukijua siku zako zinahesabika..
Kweli mfa maji haishi kutapatapa. Hivi mbona mi sijawahi kusikia Democratic au Republican wanafungua tawi London au Hongkong?.
Sijui kuwa mada hii tayari imeshawekwa hapa au la. Kama ishawekwa mnisamehe.
Napenda kuuliza kuwa, hivi maana ya kuwa na matawi ya vyama vya siasa ughaibuni ni nini? Ni harakati gani za kisiasa zinazoendelea katika nchi za watu ambazo zinahitaji kuwa na chama cha siasa humo? Wakati ule wakati nchi nyingi zilikuwa bado zinagombea uhuru, tulishuhudia kuwepo kwa vyama vya siasa nchini mwetu. Vyama hivyo vilikuwa, kwa mfano, FRELIMO, ANC, MPLA, ZANU,ZAPU, SWAPO, PAC, PLO na kadhalika. Vyama hivyo vilikuwepo Tanzania kwa sababu haikuwezekana kuwa na harakati za kisiasa nchini mwao. Walipewa kibali na serikali ya Tanzania kuwepo kwa vyama humo nchini.