Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
- Thread starter
- #21
Je nitafute wakili sasa aweze kuweka pamoja karatasi hizi na kuangalia uhalali na nianze kwa kuulalamikia Ubalozi na Majaliwa Sharif ?Maana bila ya hivyo hawa hawatajifunza na Ubalozi hautakuwa unawatendea wasio wana CCM haki maana mume wa balozi ni CCM na Balozi ni Ubalozi wa Nchi chini ya CCM. Watanzania wengine tutahudumiwa wapi ?