Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

Wakuu,wacha nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi ni mwananchama na mpenzi wa CCM,BUT MWENYE LIBERAL MIND.Navikubali vitu vingi baadhi navipinga.
Nimefuatilia mijadala juu ya ufunguaji wa mashina nje ya nchi na sasa naomba tuweke mambo kadhaa sawa ili tujadili vizuri...
1.Swala la matawi ya CCM nje ya nchi si geni kwa CCM,ikumbukwe walikuwa nayo kabla ya mfumo waq vyama vingi kuanza na yalikuwa yakiendeshwa na balozi zetu,bbada ya mfumo kubadilika wakayasitisha kuruhusu mfumo kuwa huru na haki.
2.Mwaka 2006 mwezi wa june JK alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CCM,katiba ilibadilishwa kuruhusu matawi ya CCM nje ya nchi..(na hili nijibu kwa waliouliza kwanini haikuwa kwa Mkapa).
3.CCM wanaamini katika kuwekeza kwa vijana ndo maana wanabgvandika bandua bila shida,niwajanja kwani wanajua kwasasa chama bila wasomi hakiendi so wanawekeza kwa wasomi,ndio siri ya mkakati huu,nbadfhani kwa ushauri vyamma vingine viangalie utaratibu huu.
4.LAKINI NAKUBALIANA KWAMBA SI WOTE WANAOANZISHA MATAWI WANA NIA NJEMA NA CHAMA HICHI,HAPANA NA HUU NI UKWELI KWAMBA KATIKA MSAFARA WA MAMBA NA KENGE WAPO. LAKINI NAAMINI WAPO WENYE NIA NJEMA...CCM INAHITAJI NEW MIND ILI TUPIGE HATUA MPYA,NJIA MOJA WAPO NI HAWA VIJANA WENYE EXPOSURE ILI WABADILISHE WAKATI HUO VYAMA PINZANI VIKIJIPANGA.

Mimi nimetiwa moyo na hotuba ya kijana Nape ambayo ninayo mdau kanitumia mkiitaka nweza wweka hapa,moja ya mabo kawaambia vijana CCM ina mapungufu mengi yanayohitaji kujadiliwa na kiubadilishwa na vijana,so kama nia ni hii nadhani ni sawasawa....
 
Kule kwa Michuzi na Haki niliuliza ni kwanini haya matawai yanazagaa sana Asia and UK? Hakuna aliyenijibu, but i still believe there is something behind this CCM global Invasion.

There is nothing wrong kuanzisha tawi la CCM, lakini inatia mashaka kuona haya matawi yanayofunguliwa kila kukicha pasipo agenda. Swali linakuja jee kuna baadhi ya watu wanataka kufaidikika kwa njia moja au nyingine?

Nimeona hasa UK ufunguzi unaenda sambamba na balozi wa Tanzania hapo UK. Jee huyu balozi ni political figure au neutral? Jee what is the common purpose za yeye kualikwa kwenye ufunguzi wa haya matawi? Swali gumu ninalo jiuliza ni " is this movement affiliate with CCM network expansion"?

Jee Watanzania member wa haya matawi wanabefit vipi? Maana pale UK kuna jamaa mmoja nasikia yeye ndie anaenzisha hizi movement na kisha yeye ndie anapata check kutoka makao makuu, jee swala zima ni kutanua ufusadi?



Mtanganyika,

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni;

Ni wapi balozi amealikwa kwenye ufunguzi wa Tawi la CCM UK?
 
Mimi nimetiwa moyo na hotuba ya kijana Nape ambayo ninayo mdau kanitumia mkiitaka nweza wweka hapa,moja ya mabo kawaambia vijana CCM ina mapungufu mengi yanayohitaji kujadiliwa na kiubadilishwa na vijana,so kama nia ni hii nadhani ni sawasawa....


Naomba uiweke hiyo hotuba hapa mkuu.
 
Kitia
Manufaa ya matawi kwa sasa si faida kwa Nchi bali wajanja kutumia nafasi kujitangaza na biashara zao na kupata tender na si zaidi ya hapo .Wanajua ukitaka kula na CCM beba bendera lao muda wowote na popote then utawasikia wanavyo kupa sifa na kula pesa .Ukweli upo wazi kwa baadhi ya Nchi sasa wadau wa CCM wanapate tender nono na ndiyo njia pekee CCM wanadhani chama chao kina nguvu .


Lunyungu,

Unalolisema "nadhani" ndilo lililokuwa nia ya wajanja wachache wakati Tawi la London linaanzishwa lakini; ila kwa sasa ninavyojua mimi hakuna mfanyabiashara anayefadhili chama tawi la London kwa hela nyingi kuliko wanachama. Nimedadisi kwa karibu nikagundua kuwa asilimia kubwa Tawi linaendeshwa na wanachama wa kawaida kama mimi na wewe..sasa hawa ndugu zetu wana nia gani; time will tell.
 
Ukijaribu kuangalia tuseme asilimia themenini ya hao viongozi wa hayo matawi huko ughaibuni utagundua kuna majina ambayo yameshazoeleka ya watoto wa vigogo. Hakuna kabwela kwa hiyo kwa upande mwingine ni mwendelezo wa vizazi na vizazi katika kuurithi ufalme huo wa Tanzania kupitia chama tajwa.
 
Haya kuhusu hili la matawi, nadhani wote tumeshatemebela gereji bubu, wafanyabiashara wa vijiweni (wasio rasmi na wasio na ruhusa) na pengine kwenye Mama Ntilie nk, kule ili usisumbuliwe na vyombo husika kama Jiji (kuna wanamgambo noma sana hapa mjini), Polisi nk akili wanayotumia ni kutundika bendera ya kijani na njano (CCM) kisha wanabandika kibao kuwa ni Tawi/Shina la Wakereketwa wa CCM na jina litawekwa hapo mengine waitwa Songamblele, na majina mengine meengi tuu.....

Hivyo tunapoliangalia hili pia tuangalie na wale wanaotumia chama katika kukwepa/kujilinda na chama chenyewe (vyombo vya dola - Chama bado kimeshika hatamu wakulu) hata hukuhuku nyumbani Bongoland.....

Haya kama walivyosema waliotangulia na mwishoni ni pale Yebox2 alivyosema "Time will tell"
 
Ukijaribu kuangalia tuseme asilimia themenini ya hao viongozi wa hayo matawi huko ughaibuni utagundua kuna majina ambayo yameshazoeleka ya watoto wa vigogo. Hakuna kabwela kwa hiyo kwa upande mwingine ni mwendelezo wa vizazi na vizazi katika kuurithi ufalme huo wa Tanzania kupitia chama tajwa.

Mkuu Kilbark,

Heshima yako.

Usiongee usilo lijua kwa kutumia namba kubwa kubwa kupoteza malengo ya mjadala. Unaposema "asilimia themenini ya hao viongozi wa hayo matawi huko ughaibuni utagundua kuna majina ambayo yameshazoeleka ya watoto wa vigogo". Ni lazima ujue unazungumzia viongozi 8 kati ya 10 au 80 kati ya 100. Sasa nikikuambia tupe majina 8 tu unayoyahusisha na vigogo kweli utaweza. Hii ni hoja hafifu sana kuja nayo kwenye forum kama hii.

Huu ni mjadala mzito ambao kama ukienda vema utabadili kwa kiasi fulani mustakabali wa siasa yetu huku ughaibuni.
 


Mtanganyika,

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni;

Ni wapi balozi amealikwa kwenye ufunguzi wa Tawi la CCM UK?
[/QUOTE

Maajar kama sio yeye mme wake yupo kumrepresent kwenye hizi openings..i think she is naive..she is doing it to please watz ughaibuni kumbe ajui kuna mafisi wenye agenda zao...

Kuna kiongozi wa shina moja la CCM huku UK , nilikutana nae na akasema kwanza wana biashara nyumbani (Mkoa bila bahari) na kwakuwa CCM ndo chama tawala ni vyema aaanze kuwa karibu nao sasa irahisishe mambo akirudi..this is first hand info..sasa nyie mnaongea sera sera oooh madiliko na kuhusishwa vijana mpo???...najua kuna wale wenye nia njema lakini you are all being taken for a ride ...lets say it as we see it people and stop beating around the bush!!
 
Lunyungu,

Unalolisema "nadhani" ndilo lililokuwa nia ya wajanja wachache wakati Tawi la London linaanzishwa lakini; ila kwa sasa ninavyojua mimi hakuna mfanyabiashara anayefadhili chama tawi la London kwa hela nyingi kuliko wanachama. Nimedadisi kwa karibu nikagundua kuwa asilimia kubwa Tawi linaendeshwa na wanachama wa kawaida kama mimi na wewe..sasa hawa ndugu zetu wana nia gani; time will tell.

Kama ni tawi la north london..ofisi ni internet cafe moja ya mmbongo..rent inalipwa na chama ,hiyo yeye inatosha kwake kuwa mwanachama (kiufisadi) ..kikwete akifika lazma aalikwe..na wengine watangaze Business proposal zao ili wazifanikishe bongo kama INVESTORS!! kUMBE.........
 
Mimi nadhani hata balozi wetu Uingereza amekaa ki-CCM zaidi kuliko kiserikali maana Tanzania ni ya watanzania wote bila kujali itikadi za kichama....naudhika kama nini!
 
Kama ni tawi la north london..ofisi ni internet cafe moja ya mmbongo..rent inalipwa na chama ,hiyo yeye inatosha kwake kuwa mwanachama (kiufisadi) ..kikwete akifika lazma aalikwe..na wengine watangaze Business proposal zao ili wazifanikishe bongo kama INVESTORS!! kUMBE.........


Mkuu Heshima yako,

Unatoa tuhuma hewani bila kujua kuwa huku tupo ughaibuni. Hapa una hoja unauliza kama ilivyo. Unaposema rent ya ofisi ya Shina North London inalipwa na chama; una ushahidi wowote? Maneno yako sio tu kwamba yanalenga kuleta mfarakano kati ya mwenye Cafe na Viongozi wa shina bali pia inaonyesha ni jinsi gani usivyotaka kupata data za uhakika. Hiyo ofisi sana sana itwakuwa inatumiwa kwa sababu mwenye Cafe amejitolea itumiwe na Chama. Kama nilivyosema hapo awali chama (UK) kinaendeshwa na wanachama, mwenye senti za kutoa anatoa, mwenye petroli za kwenda kufungua mashina anatoa, mwenye printer ya rangi ya kuprint nyaraka za chama anatoa n.k

Hakuna mjomba anayefadhili chama kama ambavyo mnataka wanabodi hapa waamini; na iwapo atatokea na kuonekana ana malengo yake binafsi basi mimi kama mwanabodi hapa nitakuwa na wajibu wa kuwaambieni ukweli; kwa sasa fungueni akili wekeni maswali na hoja zenye mashiko za kwa nini haya matawi yawepo huku ughaibuni.
 
Hawa watu wa UK na Asia wanaofungua haya mashina ya CCM wanaboa kweli. I'll put em on blast this coming sunday. I just can't stand them grrrrrrrrrr.

tunakuja kufungua tawi lingine hapo karibu na mitaa yako,stay tune
 


Mtanganyika,

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni;

Ni wapi balozi amealikwa kwenye ufunguzi wa Tawi la CCM UK?
[/QUOTE

Maajar kama sio yeye mme wake yupo kumrepresent kwenye hizi openings..i think she is naive..she is doing it to please watz ughaibuni kumbe ajui kuna mafisi wenye agenda zao...

Kuna kiongozi wa shina moja la CCM huku UK , nilikutana nae na akasema kwanza wana biashara nyumbani (Mkoa bila bahari) na kwakuwa CCM ndo chama tawala ni vyema aaanze kuwa karibu nao sasa irahisishe mambo akirudi..this is first hand info..sasa nyie mnaongea sera sera oooh madiliko na kuhusishwa vijana mpo???...najua kuna wale wenye nia njema lakini you are all being taken for a ride ...lets say it as we see it people and stop beating around the bush!!

Kwa hiyo lolote au popote anapokwenda Mzee Maajar ni kwamba anamuwakilisha mke wake KIOFISI..!! Hivi ndivyo unavyotaka watu wenye akili zao timamu hapa waamini?

Kiofisi Mama Balozi ni muwakilishi wa Watanzania wote; na sio kwamba mnahitaji niseme ila wote mnajua "She is doing a good job" kuwaunganisha watanzania wa UK. Kwa hilo hata mimi kabwela huku nilipo nampa mkono wa pongezi; mengine namuachia JK na timu yake. Kama balozi ameamua kumsindikiza mumewe kwenye hafla yoyote, huwezi kumuhukumu yeye kiofisi kupitia mumewe. Tena, ukizingatia mumewe hajavunja sehria yoyote.

Sitaki hii debate ya "Mume na Mke" ipoteze muelekeo wa mjadala lakini naamini mwenye kutafakari watakuwa wameelewa nasema nini.
 
Hili la India ni kero kubwa.Pia tumedhamiria yafuatayo

1.Wale wote wenye kiu ya mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi Tanzania tulioko India na hasa Vijana tuungane kwa pamoja kukabiliana na CCM yaani tufungue matawi ya Vyama Mbadala na hili suala tumeshatoa taarifa huko nyumbani kwa watu wa opposition.


2. Kupitia matawi yetu haya tufanye ku-breed wanasiasa wenye damu changa ambao ndio itakua chachu ya mageuzi na kuwapa moyo wenzetu wengi walioko nyumbani kwa kuunganisha nguvu zetu pamoja ili tukirudi huko tuongeze kasi ya mapambano kama wale askari wa kiafrika walionda kupigana vita ya dunia na kurudi Afrika kuanzisha vuguvugu la Ukombozi

3.Watu wote watakaokua na mawazo kinzani na CCM wataungana bila kujali itikadi ya CHAMA lakini tuunde upande wa watu wa opposition ili tupambane na CCM kwa nguvu kubwa na hata ubalozi wa huku ujiandae kwa hilo na tutaona mwisho wake nini.


Kwa sasa wanachama wapo tayari bado kufungua tawi tu.

Pia kama miaka michache ijayo watu wa nje wataruhusiwa kupiga kura basi kura za opposition huku zitakua pia safe bila ramli.Hapa India muda si mrefu patajua hapatoshi.

Halafu haya masuala ya kiongozi wa kitaifa kuja halafu watu wanajifanya ni ziara za kichama zitakoma.Kizuri ni kwamba VP alipokuja hakuna unazi mwingi uliofanywa

Pia nadhani balozi wetu hapa kwa kuwa ni mtu safi na liberal minded nadhani ataelewa tu ingawa itakua ni hadithi chungu
 
Hili nalo sasa linataka kuwa tatizo kubwa sana, na limeanzia London, kuna watu pale wenye nia njema, lakini kuna wanaotaka kujipatia ujiko, nina wasi wasi kuwa balozi wa pale ni naive sana, au na yeye anafikiri ni ujiko ku-entertain huu ujanja ujanja,

I mean nina heshima sana na mama Balozi, lakini hili la matawi ya CCM, halijakaa sawa, labda watoe maelezo zaidi, otherwise ninakubaliana na wachangiaji wengi hapa kuwa ni ujanja wa baadhi ya wananchi kujaribu kujisogeza na the powers! Sasa tatizo litakuja kwa wale wasiojihusisha je itakuwaje?


Mkuu FM ES

Well said, ila nakuomba muweke balozi wetu pembeni kabisa; hana hatia ya tuhuma hizi anazozushiwa hapa.

That said; Nathani kuna haja ya ubalozi kuwa more open/public kuhusu shughuli anazofanya balozi on a day to day; ziara zake, mikutano n.k. Ukosefu wa hizi info ndio unaleta vacuum ya balozi kuonekana anajichimbia ofisini wakati ambapo ukweli halisi sio huo.
 
Hili la India ni kero kubwa.Pia tumedhamiria yafuatayo

1.Wale wote wenye kiu ya mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi Tanzania tulioko India na hasa Vijana tuungane kwa pamoja kukabiliana na CCM yaani tufungue matawi ya Vyama Mbadala na hili suala tumeshatoa taarifa huko nyumbani kwa watu wa opposition.


2. Kupitia matawi yetu haya tufanye ku-breed wanasiasa wenye damu changa ambao ndio itakua chachu ya mageuzi na kuwapa moyo wenzetu wengi walioko nyumbani kwa kuunganisha nguvu zetu pamoja ili tukirudi huko tuongeze kasi ya mapambano kama wale askari wa kiafrika walionda kupigana vita ya dunia na kurudi Afrika kuanzisha vuguvugu la Ukombozi

3.Watu wote watakaokua na mawazo kinzani na CCM wataungana bila kujali itikadi ya CHAMA lakini tuunde upande wa watu wa opposition ili tupambane na CCM kwa nguvu kubwa na hata ubalozi wa huku ujiandae kwa hilo na tutaona mwisho wake nini.


Kwa sasa wanachama wapo tayari bado kufungua tawi tu.

Pia kama miaka michache ijayo watu wa nje wataruhusiwa kupiga kura basi kura za opposition huku zitakua pia safe bila ramli.Hapa India muda si mrefu patajua hapatoshi.

Halafu haya masuala ya kiongozi wa kitaifa kuja halafu watu wanajifanya ni ziara za kichama zitakoma.Kizuri ni kwamba VP alipokuja hakuna unazi mwingi uliofanywa

Pia nadhani balozi wetu hapa kwa kuwa ni mtu safi na liberal minded nadhani ataelewa tu ingawa itakua ni hadithi chungu


Ben

Heshima sana mkuu.

Sasa wewe ndio unaongea maneno ya maana. Hawa CCM sio wajinga, namna pekee ya kwenda nao sambasamba ni kuwa na hoja zinazoeleweka kwa Wananchi (itachukua muda lakini inawezekana), lakini kukaa pembe na kutoa hoja kuwa CCM wanaboa haitasaidia lolote. Before you know nyie mnaolalamika pembeni CCM watakuwa wametanda mpaka USA, Asia na kwingineko Afrika.


CCM wamewaletea mapambano ya fikra mlangoni kwenu; Kazi Kwenu.

Acheni kulalamika...
 



Ben

Heshima sana mkuu.

Sasa wewe ndio unaongea maneno ya maana. Hawa CCM sio wajinga, namna pekee ya kwenda nao sambasamba ni kuwa na hoja zinazoeleweka kwa Wananchi (itachukua muda lakini inawezekana), lakini kukaa pembe na kutoa hoja kuwa CCM wanaboa haitasaidia lolote. Before you know nyie mnaolalamika pembeni CCM watakuwa wametanda mpaka USA, Asia na kwingineko Afrika.


CCM wamewaletea mapambano ya fikra mlangoni kwenu; Kazi Kwenu.

Acheni kulalamika...

Nice work Joseph Goebbels!!
 



Ben

Heshima sana mkuu.

Sasa wewe ndio unaongea maneno ya maana. Hawa CCM sio wajinga, namna pekee ya kwenda nao sambasamba ni kuwa na hoja zinazoeleweka kwa Wananchi (itachukua muda lakini inawezekana), lakini kukaa pembe na kutoa hoja kuwa CCM wanaboa haitasaidia lolote. Before you know nyie mnaolalamika pembeni CCM watakuwa wametanda mpaka USA, Asia na kwingineko Afrika.


CCM wamewaletea mapambano ya fikra mlangoni kwenu; Kazi Kwenu.

Acheni kulalamika...


Mkuu wangu,
Sasa hivi ubalozi wa huku hauna pakutokea eti kutuwekea mizengwe.Tena mkuu hapa India ndio patakua hapatoshi maanake kuna mwamko wa vijana wengi kweli.Ndio maana hata VP alipokuja hapa ikabidi hata risala kutoka kwa wanafunzi mizengwen kibao ikafanyika hadi haikusomwa maanake hoja zilizokua ndani zilikua za kukata na shoka.Na najua uamuzi wa kufungua matawi ya vyama mbadala huku utawatetemesha maofisa wengi w aubalozi lakini lengo letu ni moja tu 'KUUNDA JESHI LA HAKI,TUJIANDAE NA BAADAE TULIPELEKE VITANI'.Huu ndio mwanzo wa mapambano ya fikra.Vijana tusikate tamaa,tusishushe utu wetu kujipendekeza
 
Umeshaishiwa Hoja, Sasa Unaleta Viroja.

Not really..as the saying goes you have to agree that one will disagree..so im actually praising your stance on the CCM propaganda machine...lets hope they wont let u down..coz ni watu principled kama wewe ambao mara nyingi huwa dissapointed with the results pale watu fulani watapo onyesha why they really ther..
 
Back
Top Bottom