VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Dada Mamndenyi,ulivyo jibu kwa kusikitika,huku ukisema eti unasikitika kwani "yupo on the way" ni dalili ya unyanyapaa eti!
Kujikwaa si kuanguka dada mkubwa!

jamani mbona mnamshambulia sana huyu dada tatizo letu waswahili mtu tumezoezwa kuzunguka mtu akisema direct anaonekana ananyanyapaa mlitaka asemeje anaishi kwa matumaini au? hata mimi nilikuwa na mtazamo kama wengi wanavyotazama nilikuwa nchi mmoja Ulaya tukiwa tunaona wagonjwa DK.akamwambia mgonjwa kuwa atakufa si muda mrefu wajiandae tu na process za mazishi....

nilimuona yule DK.kama kapungukiwa busara nilipouliza nikaambiwa kipi kizuri huyu mtu, ni kweli anakaribia kufa si bora aambiwe ukweli ndugu zake wajiandae mapema au kumdanganya atapona wakati hali ilikuwa dhahiri atakufa alikuwa na kansa akiwa kwenye hali mbaya sana........hata tukishutumu mimi mwenyewe najua nitakufa siku moja,wengi hawautaki ukweli huu lakini ndo hivyo kila nafsi lazima ionje mauti tulitoka kwa udongo tutarudi kwa udongo.
 
Ki-ukweili mimi naona kama mmemtafsiri vibaya Mamdenyi, nilichomuulewa ni kuwa mtoto anapozaliwa na VVU unakuwa unajua kabisa kuwa maisha yake hapa duniani ni mafupi kuliko mtoto anayezaliwa mzima. Tunajua sote kuwa tuko njiani kwa kuwa kifo kimeumbwa. lakini kila mzazi tegemeo lake ni kuona mwanae aliyemzaa anakuwa kiafaya kuishi na pengine kuja kumzika mzazi na sio yeye amzike mwanaye. hapo ndio machungu yanapokuja kufikiri kuwa mwanangu muda wowote atakwenda kwa sababu ana VVU so akiugua hata homa mzazi hata kua na amani.

Nakumbuka yule mtoto wa Afrika Kusini sikumbuki jina lake naye alikuwa ameathiriwa na VVU na vyombo vya habari vilikuwa vinafuatilia afya yake kwa karibu kila uchao, kwa kweli siku alipoaga dunia nilisikitika sana.
 
Last edited by a moderator:
inategemea na kinga ya mwili ya mtoto huyo, na pia kama atakua anafata ushauri wa kitabibu. Kama asipofata hayo ni rahisi kwake kupoteza maisha akiwa mdogo sana
 
Wadau naomba nijuzwe mtu naanzaa kutumia ARV akiwa na CD4 ngapi?
 
Wadau naomba nijuzwe mtu naanzaa kutumia ARV akiwa na CD4 ngapi?

Salaam,

Kuanza kutumia vidonge vya kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI (ARV) , hutegemea na baadhi ya vitu.

1. Wingi/Uchache wa CD4.
2. Kundi/Hatua (Stage) ya mgonjwa kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Sasa kwa kawaida mgonjwa mwenye CD4 chini ya 350cells anatakiwa/anaweza kuanza kutumia dawa hizo..

Hata hivyo ingawa mtu anaweza kuwa na CD4 za kutosha lakini akawa katika Hatua ya tatu au ya nne (WHO Stage III/IV) huyu pia, anapaswa kutumia dawa.

Sasa basi, kutokana na hili hakuna jibu la moja kwa moja kwa sababu ya uhusiano huo.
 
Mbona swali lake linaeleweka.. beeper mostly CD4 200 kushuka chini huwa wanaanzishiwa Arv..pia it depend unaweza ukawa na zaidi ya hizo but kuna WHO clinical staging...ambapo km unapatikana na magonjwa nyemelezi fulani unaanzishiwa dawa....kidg ntakua nimekufungua
 
Last edited by a moderator:
Naombeni kujuzwa..je mtu akishapata ''vvu'' inamchukua muda gani hadi kuja kuonekana??? (kwa macho bila kupima yaan afya kuanza kuzorota)
 
Muda kabla mtu ambaye ameambikizwa kuona dalili unatofautiana sana Kati ya watu. Mostly ni kati ya miaka 6 hadi 10.
 
Soma hii guideline itakusaidia: http://www.who.int/hiv/pub/guidelines/tanzania_art.pdf

Cha kukumbuka ni kuwa, ni vyema ukaenda kwenye kituo cha tiba ya UKIMWI ukaonana na daktari mwenye uzoefu na haya matibabu, kwani kuna vipimo vingine vya kufanyiwa na si cd4 pekee kabla daktari hajaamuwa tiba gani ndio sahihi zaidi. Pia kila siku kuna tafiti mbali mbali za hii tiba na madaktari wako updated.

Kumbuka pia ARV zina "combination" tofauti kutokana na hali ya mwaathirika.
 
Naombeni kujuzwa..je mtu akishapata ''vvu'' inamchukua muda gani hadi kuja kuonekana??? (kwa macho bila kupima yaan afya kuanza kuzorota)

Diagnostic Measures,.

HIV infection can be diagnosed by detecting and quantifying the amount of HIV in the body, the viral load; or it can be by detecting antibodies developed as a result of HIV infection by using HIV Rapid tests or ELISA.

HIV Antibody Tests

1.Rapid tests
2.ELISA- Enzyme Immunoassay (Enzyme-Linked-Immuno-Sorbent-Assay)


Detection/quantification

1.p24 antigen ( measure quantities of this viral antigen)

2.PCR DNA( qualitative detection of virus genetic material.

3Viral load assay( qualitative assesment of number of virus particles)

4.Viral culture growing HIV in the laboratory.


NOTE

Diagnosis depends on detection of antibodies to HIV and specifically it relies on rapid tests which are very sensitive and very specific.

Rapid tests cannot detect HIV before antibodies are made. This is called the Window Period.

A person who has just become infected with HIV goes through a stage of rapid HIV multiplication leading to a high amount of the virus in the blood before the imune system detects and tries to control the infection.

Because of the large amount of the virus in the blood, this person also has a greater likelihood of infecting others.

Since this person is also newly infected, he or she may not even know that they are HIV positive.

And even when tested he or she will be negative because his body will not yet have made antibodies against HIV
 
Naombeni kujuzwa..je mtu akishapata ''vvu'' inamchukua muda gani hadi kuja kuonekana??? (kwa macho bila kupima yaan afya kuanza kuzorota)

kwa kawaida ugonjwa wowote unaotokana na virusi ni lazima uanze kuonyesha dalili zake na hata ugonjwa wenyewe ndani ya wiki 2 mpaka mwezi mmoja.
 
we kwani umedumbukizwa hivyo virusi lini?

mkuu cjadumbukizwa bt nmeuliza coz kuna mtu namsoma mwenendo wa afya yake maana alikuwa iringa since oktoba sasa karudi afya imechange hospital daily kusema anachoumwa hasemi
 
Soma hii guideline itakusaidia: http://www.who.int/hiv/pub/guidelines/tanzania_art.pdf

Cha kukumbuka ni kuwa, ni vyema ukaenda kwenye kituo cha tiba ya UKIMWI ukaonana na daktari mwenye uzoefu na haya matibabu, kwani kuna vipimo vingine vya kufanyiwa na si cd4 pekee kabla daktari hajaamuwa tiba gani ndio sahihi zaidi. Pia kila siku kuna tafiti mbali mbali za hii tiba na madaktari wako updated.

Kumbuka pia ARV zina "combination" tofauti kutokana na hali ya mwaathirika.

thanks mkuu
 
Mkuu chini ya cd 4 500 kwa guideline ya WHO ya sasa anatakiwa kuanza dawa regardless of clinical stage.
 
Na je,vipimo vinaweza kubaini VVU mwilini kwa muda gani? Yaani virus vinavyoingia mwilini mfano,leo,vipimo vinaweza kubaini baada ya muda gani?
 
Back
Top Bottom