VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

sijajua unachonituhumu nacho,
nilikuwa i was only replying huu uzi,
kama nimekukwaza i can say sorry.

wameshindwa la serukamba litakua hili..........ripot ila ujumbe umekufikia umeniboa sana hustahili kuitwa Great thinker.
 
Kwanza niseme mtoto haambukizwi UKIMWI-Ukosefu Wa Kinga Mwilini. Ila anachoambukizwa ni VVU-Virusi Vya UKIMWI.Hakuna mtu anayeweza ku gurantee miaka ambayo mtoto anaweza kuishi baada ya kuzaliwa na HIV maana inategemea na kinga za huyo mtoto kama ziko weak ni hakika anaweza kufa akiwa bado mtoto lakini akiwa na kinga kubwa mwilini mwake anaweza kukua hata kuwa mtu mzima.
 
Kwanza niseme mtoto haambukizwi UKIMWI-Ukosefu Wa Kinga Mwilini. Ila anachoambukizwa ni VVU-Virusi Vya UKIMWI.Hakuna mtu anayeweza ku gurantee miaka ambayo mtoto anaweza kuishi baada ya kuzaliwa na HIV maana inategemea na kinga za huyo mtoto kama ziko weak ni hakika anaweza kufa akiwa bado mtoto lakini akiwa na kinga kubwa mwilini mwake anaweza kukua hata kuwa mtu mzima.

very true. akifanikiwa kufika miaka 25, ni imani yangu kutakua na improvement kubwa kwenye tiba ya HIV na possibly akaishi mpaka 50s kama mungu ndivyo alivyompangia.
 
nawashangaa tena mnaniacha hoi,
kwani uzi unasemaje? .......Mtoto anapo ambukizwa ukimwi toka kwa mama anaweza kuishi hadi umri gan kabla hajafa kwa ukimwi?............. hiyo ya kusema we are all on the way na mimi najua pia,
lakini nilikuwa kwenye thread shosti.

mi naona mnataka kuniparua
kama vipi mwambieni aondoe huu uzi.

muwe mnasoma na topic za wenzenu muelewe, ulitaka nijibu je?

Dada mkubwa Mamndenyi,hapa umepotoka aisee!
We are all on the way,na kutokuwa na UKIMWI si guarantee hata kidogo kuwa utaishi miaka mingi.
 
>Kuna mtoto wa my sister alizaliwa na virus hivyo.
>Vilianza kumtesa akiwa na miaka 12,
na akafa akiwa na miaka 16.
>Kwa uzoefu wangu naamini kuwa Mtoto aliyezaliwa na tatizo hilo mara nyingi huanza kupata taabu akiwa na miaka 9-14
.
>Lakini kwa sasa kifo chake kinategemea na lishe,matunzo bora na kutumia madawa yaliyopo kwa wakati muafa.
 
Mamndenyi,

muwe mnasoma na topic za wenzenu muelewe, ulitaka nijibu je?[/QUOTE]
ni aibu sana kama hadi leo kuna watu wana mtazamo hasi kama wako, shame on you mamndenyi
 
Mamndenyi,

muwe mnasoma na topic za wenzenu muelewe, ulitaka nijibu je?[/QUOTE]

Dada Mamndenyi,ulivyo jibu kwa kusikitika,huku ukisema eti unasikitika kwani "yupo on the way" ni dalili ya unyanyapaa eti!
Kujikwaa si kuanguka dada mkubwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom