mzalendokweli
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 579
- 137
Tusipuuze kil kitu pls. Labla aliekosea ni mleta mada kwa kuliita tamko lakini kimsingi anaeleza experience yake kua waislam na wakristo tunaeza kuishi pamoja.Pumbavu kabisa hili ndio tamko gani sasa
Kama baba na mama yake wameish chumba kimoja na wamemzaa yeye wakiwa dini tofauti haiwez kushindikana kuishi mtaa mmoja tukiwa dini tofaut.