Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,785
- 14,709
ukimpiga ocd kutokana na ukorofi wake utakuwa umenyea kambi na utaisoma namba,ila ukimuua Alphonce mawazo kutokana tu na itikadi yake utapewa heshima kubwa na kuonekana shujaa kwa wana ccm,kipimo kilekile ulichopimia ndicho utakachopimiwa.Haya ni majungu, inaonekana mtoa mada anamihemko.
Nakushauri mtoa mada tulia weka pembeni mihemko na andika tena thread hiii upya na kwa taarifa hii yako tuiamini Jeshi la Polis na kama mnajisifu kumpiga OCD Wa Wilaya sasa mmenyea kambi na mtaisoma namba