Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,251
nadhani iko haya ya somo la busara liwe somo mama ktk mafunzo ya polisi wetu.kuna.mambo mengi yanaleta shida sababu ya mitazamo ya kizamani ya polisi.walau busara kidooooooogo ingeokoa misugiano miiingi nchini.tatizo wanadhani mikwara ndo njia sahihi ya kumdhibiti binadamu wa karne hii
Jeshi linaendeshwa ka la kikolo i busara zero kabisa jambo lakutumia akili kidogo wao wanatumia nguvu na sifa ili kupandishwa vyeo. Hii tabia yao ndo imeanza kuifanya jamii Ku deviate na hii inaenda ikikua kitaratibu.