AdanaVural
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 628
- 353
At least wewe tumeongea neno la busara..
Kuna issues zingine police hawatumii busara kabisa, watu wamefiwa wanapeleka mwili wa mpendwa wao alafu police wanawatawanya kwa mabomu.
Ukizingatia kifo cha mawazo lazima tension ntakuwa high kuanzia siku ya kifo Chale hadi siku ya mazishi.so kwa kutumia busara za buree ambazo hauitaj rocket science polisi wangekaa pembeni coz hao wapendwa wa mawazo washajazwa simu kwamba police wa naweza kuwa wameusika kwa namna moja au nyingine.
Nashangaa vitu vyepesi kama hivi hata makamanda wa police wanashindwa kuvielewa.!!
Hapa ndo napata wakati mgumu, kwenye msiba kama ule wenye tension kubwa sana tena ktk kipindi hiki wangeshiriki kuwalinda wananchi wausindikize mwili wa mpendwa wao mpaka eneo husika na sio kuwatawanya kwa mabomu, naamini watu wasingeufanyia jambo baya mwili wa marehemu wao wanahuzunika na huo ndo utamaduni wetu kisindikiza misiba kwa mapambio na hata vilio. Polisi wetu wajifunze kutumia akili na busara zaid na sio nguvu kwani saa nyingine zinazaa uhalifu na chuki.