Vunja Bei aambiwa 'Thank You,' Sandaland apewa kazi ya kuuza Jezi za Simba

Wamefika bei walishindana na nani? Wewe ulisikia hiyo tenda? Uwepo usawa wa kibiashara, zile ni timu za Umma sio binafsi, watu wanachangia michango yao.

We jamaa unaongea kama hushirikishi ubongo wako.
hivi wewe umewahi kupeleka matangazo yako pale simba wakagoma kukuwekea?

Kabla ya mo kuja, simba si ilikuwepo? Kwa nini hawakwenda kupeleka matangazo yao pale?

Timu ni za umma sawa hao wenye timu wanamchango gani kwenye timu? Manji aliwaachia timu yanga, uliona kilichotokea? Mambo mengine muwe na shukrani na sio kuleta ubishi usio na msingi.
 
Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.

1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.

2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.

3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.

4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.

5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.

Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.

Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Wewe umewahi kutaka kuwekeza nini pale simba ukashindwa?.au unazungumzia ela za wenzako?
 
Wawekezaji Wengi wapo wanasubiri aondoke Tu waingie

hebu wataje wachache unaowafahamu.

kabla hajaingia mo wao walikuwa wapi?
Yanga alipojitoa manji ilichukua muda gani kutulia?
Kwa nini nchi yetu timu zenye connection na watu wakubwa serikalini ndo zinawadhamini?

Kama timu zetu zingekuwa na faida kibiashara kwa wawekezaji kuja basi baada ya manji kujitoa ilipaswa tusikie yanga ikigombaniwa lakini hali halisi tuliona. Na hata mwekezaji aliyepo mama kasema juzi kuwa anambeba. kwa hiyo unaweza ona mazingira ya connection na michongo hapo.

Ukweli ni kwamba huyu mo inabidi ashukuriwe tu.
 
DP World wana sponsor sana michezo tofauti tofauti nchi nyingi. kwao wana sponsor mpaka Michezo ya fedha nyingi sana.

Nawaonea gere Yanga.

Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Chawa huku ni michezo tu
 
We jamaa unaongea kama hushirikishi ubongo wako.
hivi wewe umewahi kupeleka matangazo yako pale simba wakagoma kukuwekea?

Kabla ya mo kuja, simba si ilikuwepo? Kwa nini hawakwenda kupeleka matangazo yao pale?

Timu ni za umma sawa hao wenye timu wanamchango gani kwenye timu? Manji aliwaachia timu yanga, uliona kilichotokea? Mambo mengine muwe na shukrani na sio kuleta ubishi usio na msingi.
Kwann nipeleke wakati hawajatangaza tenda ya jezi. Hujataka kuelewa basi niishie hapo.
 
logo yake ya vunja bei ilikua kubwa kuliko nembo ya club alafu akaihamisha kutoka chini had kuja Katikati ya kifua ili ionekane haraka
Duh saskuonekana kwa log ndio nn Wala hii siyo hoja kbsa ,ishu Ni undugulaizetioni ndani ya club hi kongwe kbsa baran africa
 
Kwann nipeleke wakati hawajatangaza tenda ya jezi. Hujataka kuelewa basi niishie hapo.

sasa kama wewe ni mwekezaji ungeona fursa hapo ungeenda mwenyewe. Ila kwa sababu wawekezaji wanajua hiyo ni biashara kichaa, ndio maana timu inalazimika kutafuta wawekezaji.
 
Duh saskuonekana kwa log ndio nn Wala hii siyo hoja kbsa ,ishu Ni undugulaizetioni ndani ya club hi kongwe kbsa baran africa
kapewa kazi kaishindwa mwenyewe kashindwa kuzalisha jezi kuendana na uhitaji, msimu mpya unaanza lakin mashabiki bado hawana jezi mpya, alaf bahati mbaya hadi mdhamini kashabadilishwa lakin mashabiki walishindwa kupata jez wakaendelea kuvaa za sportpesa.
ilitakiwa kwanzia siku ya Simba day mzigo upo wa kutosha ila ye alishindwa alichofanikiwa ni kubuni logo kubwa ya jina lake na kuiweka sehem inayoonekana kwenye jezi

jezi hazina ubunifu wowote hazivutii, ni Bora tu watu wabebane kuliko kuangalia usawa na kumpa mtu tenda wakati anashindwa kufikia matumaini ya mashabiki
 
Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.

1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.

2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.

3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.

4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.

5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.

Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.

Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Hata m beti nayo ni ya mo
 
Hivi kabla mo hajajitokeza simba hao wawekezaji wengine walikuwa wapi kuichukua timu mpaka utake competition?

Yanga alipojitoa manji ilichukua muda gani kumpata gsm? Gsm wenyewe mama alisema hawabani means kwa kiasi kikubwa wapo pale kwa kimchongo tu.

Lesson: nchi yetu hawapo wawekezaji wa kutupa pesa kwenye mpira wakategemea faida so hao waliopo tuwashukuru sana. Au uliwahi peleka tangazo pale simba ukanyimwa?
Hakuna mwekezaji hapa duniani anawekeza kutoa sandakalawe,, kila uwekezaji lazima mwekezaji awe na lengo la faida,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom