Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Club ya Simba, ni kwamba Fred Vunja Bei amemwagwa rasmi.
na Mbet ni ndugu wa mo pia?Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORT PESA ni tofauti!?Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Mimi ni Simba ...uko sahihi kabisaUndugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
umenena vyema kabisa.muhindi uwa apendi ushindani.Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Shida ikwapi kama wamefika bei. Sisi wanasimba tunaheshimu na kuappreciate mchango wa mo kama utopolo wanavomtukuza garib kwa sasa.Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Huna hata ushahidi umebaki na hisia za kisiasa na kuchafuana.GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORT PESA ni tofauti!?
Mkuu, Fanya kufukunyua, utajua hao wote jambo lao moja, hapo wamefanya Portifolio tu. ila muhusika ni Ji Esi EM in umbrella of mr smile.
Wamefika bei walishindana na nani? Wewe ulisikia hiyo tenda? Uwepo usawa wa kibiashara, zile ni timu za Umma sio binafsi, watu wanachangia michango yao.Shida ikwapi kama wamefika bei. Sisi wanasimba tunaheshimu na kuappreciate mchango wa mo kama utopolo wanavomtukuza garib kwa sasa.
Watu wenye akili ndogo hawawezi kukuelewa...Wamefika bei walishindana na nani? Wewe ulisikia hiyo tenda? Uwepo usawa wa kibiashara, zile ni timu za Umma sio binafsi, watu wanachangia michango yao.
Mmiliki wa Simba sio Mo Dewji ni WanachamaUndugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
Vunjabei amejitahidi ila alishindwa, Uto inapata sh ngapi kwa kila Jersey?2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
Una ndugu mwenye ubavu akachukue nafasi ya Africarriers?3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
Ni bidhaa zinazohitaji kutangazwa na Mo tayari Simba ni platform yake kubwa4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
Hajapewa, Fatema yupo kama influencer tu5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Afya ni watercomPamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Piga wewe na watu wakwenuKwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila niki
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uu
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei,
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na h
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.