alodiawilliam
New Member
- Nov 30, 2014
- 3
- 1
Naomba number zenu mwenye shida
Voda acheni uongo yani mnatuma sms bado limeishaisha hadi salio mmeshakata nyie mnaudhi sana
Habari ndugu mteja, tumekujibu hili katika PM uliyotutumia. AhsanteHizi kampuni za Akiba Saccos na community loan ni matapeli kwann mmewaruhusu kutumia lines zenu?
Maboresho hufanyika kwa kuweka kifurushi kingine na sio kile cha awali, kwa sasa tumeboresha kifurushi cha Cheka 899 na pia mteja anaweza kupiga simu BURE Vodacom kwenda Vodacom baada ya dakika ya 3. Tungependa kufahamu eneo ulilopo ambalo ukijiunga na Dakika za Nguvu huwezi kupiga simu na namba yako tafadhali kupitia PM.Voda eti mnaboresha??upuuzi gani huo si ungenyamaza tu mmeboresha nini kuongeza meseji mb na dakika mmeminya puuzi kabisa unaongea nini, usiwe kama robot tumia akili kujibu maswali kama huna jibu sema tu yamewashinda mmeboresha nini kama happyhour ukiunga tu tayari hata simu hazitoki ,,,akiona thread hii ataanza kuuliza eti natumia simu gani ....unadhani kuna smart phone inaweza furahiwa kwa mb zenu za wizi wizi tu
Habari Kuhanda, piga *149*01# chagua SIMU.tv kisha chagua TV uliyojiunga nayo na chagua kujitoa.Hii simu tv inanitesa naomba muitoe ni mimi 0755672777
Habari Maanax, sasa unaweza kukopa na pia kuweka akiba kwa kuanzia Tsh 1000. Karibu0756525889 Kwanini haipati mkopo na M.PAWA hata nikiweka akiba????? USAJILI WOTE NIMEKAMILISHA.
Inasumbua vipi mkuu.Vodacom huku UDOM mtu akitaka kujiunga University promotion inasumbua sana hebu fanyen marekebisho
Pole sana kwa tatizo ulilokumbana nalo na kwetu sisi mteja ni mfalme, huduma yetu imejengwa katika mising hiyo. Utatuzi wa changamoto yoyote huhusisha kupeana taarifa kwa pande zote mbili.Nimehama kitambo baada ya kuniudhi kila nikinunua bundle mtandao nao unazingua na siku ukikubali naandika maumivu....nyie voda wazinguaji sana...mteja kwenu ni ---- na huduma zenu mbovumbovu
Inasumbua vipi mkuu.