Vodacom,
Mwenzenu nimeenda kimasomo nje kidogo ya nchi, sijaitumia voda yangu toka tarehe 25/05/2014.
Nategemea kumaliza masomo mwisho wa mwezi wa kwanza 2015.
Je nitaikuta line yangu hai??
Habari Mungumaji, kifurushi cha 3GB kinatolewa kwa miezi 6 ambapo kila mwezi mteja anapata 500MB.
Tafadhali tutumie namba ya simu PM kwa msaada zaidi.Kila ukitaka kujiunga university promotion UDOM unaanbiwa kwa sasa upo nje ya eneo la chuo
Tafadhali fafanua unaibiwa vipi?VODACOM mtaacha lini kutuibia vifurushi vyetu vya intaneti.......???
Pole sana, tutumie namba ya simu PM kwa msaada zaidi.Hivi VODACOM mna matatizo gani? Mimi sijajiunga na hiyo NIPASHE mnanitumia habari na kukata salio langu. Hebu acheni ujinga, huu ni wehu.