IT Guru
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 635
- 112
Aisee nimeikosa hii deal, but shukrani mkuu kwa kushare hii kitu kwa wadau, ila wadau waJF ni wachoyo wa LIKE sana , me nimekumwagia like japo nimechelewa kuigundua hii kitu
hehe pole sana mkuu.ila wengi tunatumia simu hatuna like button ingekuwepo ningempa hapa.ila ilikuwa nzuri sana tumedownload vya kutosha jana.tunasubiri new hacks