be carefuly guys!!!!!!!!!!
Mkuu ongea Taratibu wasije kujaa TMK,kwani hatuna tatizo la Foleni kama mbezi na tegeta.maana sasa ferry foleni ishaanza kuwa ndefuIlala na Kinondoni yote ina mizozo katika upimwaji wa viwanja na ufidiaji... ni vema kuwa makini...
Nashauri wanaotaka viwanja ni vema waelekeze nguvu zao Temeke...Manispaa inapima viwanja vingi Gezaulole-na katika maeneo ambayo yatakuwa lulu miaka michache ijayo.!!