Vitu gani ambavyo ni mtego?

Demu mmoja alikuja geto nisha mpiga mashine vya kutosha sa ameoga amesha vaa kabisa halafu ana anza visingizio "halafu baby najiskia kuchoka mara baby halafu nausingiz mara utaskia halafu kule naenda hostel hamna hata ishu ya maana ya kufanya"
Nika jua huu MTEGO anataka nimwambie alale mpaka kesho ikabidi niupangue kwa kusema ucjal baby we jikaze tu uende ukifika huko utalala tu...
Maana nilikuwa na mpango wa kuingiza goma lingine la kulala nalo mpaka asubuhi angenihalibia ratiba zangu tu.
 
Demu mmoja alikuja geto nisha mpiga mashine vya kutosha sa ameoga amesha vaa kabisa halafu ana anza visingizio "halafu baby najiskia kuchoka mara baby halafu nausingiz mara utaskia halafu kule naenda hostel hamna hata ishu ya maana ya kufanya"
Nika jua huu MTEGO anataka nimwambie alale mpaka kesho ikabidi niupangue kwa kusema ucjal baby we jikaze tu uende ukifika huko utalala tu...
Maana nilikuwa na mpango wa kuingiza goma lingine la kulala nalo mpaka asubuhi angenihalibia ratiba zangu tu.
Wafanyie wenzako hivyo watoto wako wa kike watafanyiwa hivyo hivyo na utashuhudia kabla hujafa.

Malipo ni hapa hapa. Ukifikisha miaka 55 utakumbuka hii comment yangu.
 
1. Ukiwa unaondoka ugenini wakakwambia mbona haraka, usiondoke kesho usubiri kesho kutwa n.k huo ni mtego. Ondoka, hapo wanajikosha tu.

2. Unaaga kwenda kazini , mpenzi wako anasema usiende mpunzike kidogo, huo ni mtego, ukibaki unajipunguzia credits
3. Unaongea na mtu af anasema nikipata vocha ntampigia af nitakupa majibu, au nikipata hela ntafanya x. Huo ni mtego.

4. Unabembelezwa kutoa siri , unaambiwa ' ukiniambia mimi simwambii mtu' huo ni mtego

5. Amekuacha kwa akaenda kwa mwingine, kisha anarudi kusema we ndo anakupenda, huo ni mtego, ni uongo

....mtego mwingine?
Baby nikuambie kitu? Huo ni mtego. Jibu sitaki uniambie chochote au kama unataka akuambie muulize: Unataka shilingi ngapi baby? Hapo utakuwa umetegua mtego.
 
Utashangaa ushamuweka mimba na hapo hachomoki kwako.
Akishaona unakaa Apartment kali tu, mixer watasha na gabachori wa kumwaga... salamu za kimombo, umeme haukatiki. Pananukia bila kufukizwa udi wala Air-freshner, mageti yanafungwa na kufunguliwa kwa remote... ukifungua dirisha una-face bahari wanaanza...

"Mara ooh! Babe natamani nisifanye kazi, nikae na wewe kwako nikuhudumie mpenzi naona hutaweza ku-handle mambo yako yote alone hasa ya nyumbani, biashara zangu zinaweza niingizia pesa hata nikiwa home tu"

Nikamuwasha na block na nikamwambia mlinzi akija sema nimehama 😅
 
Hahaha kaka unatafuna maisha aise
Akishaona unakaa Apartment kali tu, mixer watasha na gabachori wa kumwaga... salamu za kimombo, umeme haukatiki. Pananukia bila kufukizwa udi wala Air-freshner, mageti yanafungwa na kufunguliwa kwa remote... ukifungua dirisha una-face bahari wanaanza...

"Mara ooh! Babe natamani nisifanye kazi, nikae na wewe kwako nikuhudumie mpenzi naona hutaweza ku-handle mambo yako yote alone hasa ya nyumbani, biashara zangu zinaweza niingizia pesa hata nikiwa home tu"

Nikamuwasha na block na nikamwambia mlinzi akija sema nimehama
 
Back
Top Bottom