7ve
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,335
- 3,272
Demu mmoja alikuja geto nisha mpiga mashine vya kutosha sa ameoga amesha vaa kabisa halafu ana anza visingizio "halafu baby najiskia kuchoka mara baby halafu nausingiz mara utaskia halafu kule naenda hostel hamna hata ishu ya maana ya kufanya"
Nika jua huu MTEGO anataka nimwambie alale mpaka kesho ikabidi niupangue kwa kusema ucjal baby we jikaze tu uende ukifika huko utalala tu...
Maana nilikuwa na mpango wa kuingiza goma lingine la kulala nalo mpaka asubuhi angenihalibia ratiba zangu tu.
Nika jua huu MTEGO anataka nimwambie alale mpaka kesho ikabidi niupangue kwa kusema ucjal baby we jikaze tu uende ukifika huko utalala tu...
Maana nilikuwa na mpango wa kuingiza goma lingine la kulala nalo mpaka asubuhi angenihalibia ratiba zangu tu.