CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,762
- 8,828
Kwa sasa Taifa liko kwenye mchakato wa Vitambulisho vya Taifa , Na hili swala tunaambiwa litakuwa nyeti sana.
- Na hivi vitambulisho kutokana kwamba vitakuwa computarised, vitakuwa na Data zote muhimu za mtu, kama vile
1. Umri
2. Kabira
3. Kazi
4. Elimu yake, yaani shule ya msingi, sekondary na chuo
4. Mahali alipo zaliwa
5. NA MENGINE MENGI TU
SASA UTATA UNAKUJA KWA WALE WATU WALIO TUMIA VYETI VYA NDUGU ZAO KUSOMEA NA HATA KUFANYIA KAZI.
- kuna watu wengi sana wametumia vyeti vya ndugu zao, rafiki zao na jamaa zao, kwenye kuombea kazi, kusomea na kazalika sasa kwenye kutengeneza vitambulisho lazima hizo taalifa zote zitaingizwa
- SAS JE WATAKAO GONGANA TAARIFA ITAKUWAJE?
1. MAJINA YOTE MATATU YAFANANE
2. SHULE WALIZO SOMA ZIFANANE
3 UKOO UFANANE
5. MAHALI WALIPOZALIWA PAFANANE, wilaya, kijiji, kata, mkoa
5. MWAKA WALIOZALIWA UFANENE
6. DIVISION WALIZO PATA NAZO ZIFANANE
7. Ndugu nao wafanane
NAZANI HAPA WAKUU KUTAKUWA NA UTATA WA HALI YA JUU, KUTOKANA NA KWAMBA HILI SWALA NI NYETI SANA, HAPO ATAKAYE WAHI KUINGIZWA TAARIFA ZAKE KWENYE DATA BEZI NDO ATAKAE KUWA AME ESCAPE
- Na hivi vitambulisho kutokana kwamba vitakuwa computarised, vitakuwa na Data zote muhimu za mtu, kama vile
1. Umri
2. Kabira
3. Kazi
4. Elimu yake, yaani shule ya msingi, sekondary na chuo
4. Mahali alipo zaliwa
5. NA MENGINE MENGI TU
SASA UTATA UNAKUJA KWA WALE WATU WALIO TUMIA VYETI VYA NDUGU ZAO KUSOMEA NA HATA KUFANYIA KAZI.
- kuna watu wengi sana wametumia vyeti vya ndugu zao, rafiki zao na jamaa zao, kwenye kuombea kazi, kusomea na kazalika sasa kwenye kutengeneza vitambulisho lazima hizo taalifa zote zitaingizwa
- SAS JE WATAKAO GONGANA TAARIFA ITAKUWAJE?
1. MAJINA YOTE MATATU YAFANANE
2. SHULE WALIZO SOMA ZIFANANE
3 UKOO UFANANE
5. MAHALI WALIPOZALIWA PAFANANE, wilaya, kijiji, kata, mkoa
5. MWAKA WALIOZALIWA UFANENE
6. DIVISION WALIZO PATA NAZO ZIFANANE
7. Ndugu nao wafanane
NAZANI HAPA WAKUU KUTAKUWA NA UTATA WA HALI YA JUU, KUTOKANA NA KWAMBA HILI SWALA NI NYETI SANA, HAPO ATAKAYE WAHI KUINGIZWA TAARIFA ZAKE KWENYE DATA BEZI NDO ATAKAE KUWA AME ESCAPE