Inawahusu nanni kisiasa au kidini,maana kuna nguo za kidini na kisiasa?Natumaini content ya kitabu hicho inawahusu hao waliohudhuria
Natumaini content ya kitabu hicho inawahusu hao waliohudhuria
wakuu fuatilieni hii habari maana itv walisema kuwa hivi vitabu vimeshakubaliwa na vimeingizwa kwenye mitahala ya shule za msingi ambapo vitatumika kuanzia darasa la V - VII (darasa la tano mpaka saba). Na pale miongoni mwa waliokuwepo ni Nyambari Nyamgwine, kwa hiyo msishangae hivi vicheko vyenu vikaishia kwenye vilio maana sina uhakika ni taasisi gani iliyo hakiki na kuthibitisha kuwa hivi vitabu vinaweza kujenga vision za watoto wetu.Kama ni content ya kidini then amepata the right crowd
Kisitumike shule zetu za msingi,akitumie kwenye Madrasa.Make aliisha suka mchongo wa kula chenji ya rada kwa kutumia kitabu chake
hi Juzuu inazinduliwa?
wakuu fuatilieni hii habari maana itv walisema kuwa hivi vitabu vimeshakubaliwa na vimeingizwa kwenye mitahala ya shule za msingi ambapo vitatumika kuanzia darasa la V - VII (darasa la tano mpaka saba). Na pale miongoni mwa waliokuwepo ni Nyambari Nyamgwine, kwa hiyo msishangae hivi vicheko vyenu vikaishia kwenye vilio maana sina uhakika ni taasisi gani iliyo hakiki na kuthibitisha kuwa hivi vitabu vinaweza kujenga vision za watoto wetu.
Kikubwa hapa ni kuwa watu wako kwenye biashara maana zikichapwa nakala milioni 2,000,000 na nimeona wanasema bei yake ni 5,000/- @ nakala!
naona mitandao ya magazaeti iliyopost habari hiyo hawajaelezea vizuri hilo na naendelea kufuatilia, lakini walioangalia ITV jana watakuwa waliona, ilisemwa vizuri. Atakayewahi kupata taarifa kamili atuwekee hapaduh kumbe ni vya shule ya msingi...! Makubwa
kwa huu mwendo, hakika huwezi kutabiri mwelekeo!Mzee YMakamba amlitania na kusema auze vitabu ili apate ugali, vodacom pesa imeisha au?????
Mkuu mwenye kudai uwiano wa kila kitu, ukimaliza hapa nenda kwenye msafara wa CHADEMA kusini, 99.99% ni wakristo utadhani ni kikindi cha kwaya cha kanisa! kha!