johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Kuna tofauti kubwa sana Kati ya Kuonewa na Wewe mwenyewe kuwa muoga
Ndio najiuliza Magufuli alikuwa Katili?
Vyama vya Upinzani Siyo dhaifu?
Viongozi wa Upinzani Siyo Waoga?
Upinzani wa Tanzania Siyo Biashara?
Awamu zilizopita tulishuhudia Watu wakitekwa na walipoachiliwa walirudi vilema pia tulishuhudia Mwangosi akiuawa hadharani na wengine pale Soweto Arusha walipigwa mabomu
Wapemba walihamia Shimoni Mombasa
Awamu ya Magufuli Mo alitekwa na kurudi salama salimini
Mzee Membe alikuwa anatamba atakavyo
Wazee Kinana na Makamba pamoja na zile Sauti lakini mwishoe wao ndio waliombwa radhi na Bashiru
Sasa huo Ukatili ni upi?
Mbowe aliitisha maandamano ya UKUTA Wafuasi wao wakaogopa tofauti na wenzake Kenya akina Raila Odinga
Sasa japo Upinzani Siyo Waoga na dhaifu?
Ndio najiuliza Magufuli alikuwa Katili?
Vyama vya Upinzani Siyo dhaifu?
Viongozi wa Upinzani Siyo Waoga?
Upinzani wa Tanzania Siyo Biashara?
Awamu zilizopita tulishuhudia Watu wakitekwa na walipoachiliwa walirudi vilema pia tulishuhudia Mwangosi akiuawa hadharani na wengine pale Soweto Arusha walipigwa mabomu
Wapemba walihamia Shimoni Mombasa
Awamu ya Magufuli Mo alitekwa na kurudi salama salimini
Mzee Membe alikuwa anatamba atakavyo
Wazee Kinana na Makamba pamoja na zile Sauti lakini mwishoe wao ndio waliombwa radhi na Bashiru
Sasa huo Ukatili ni upi?
Mbowe aliitisha maandamano ya UKUTA Wafuasi wao wakaogopa tofauti na wenzake Kenya akina Raila Odinga
Sasa japo Upinzani Siyo Waoga na dhaifu?