Vitabu vya Makamba sr. hawa ni wageni waalkwa uwiano umekaaje? Toa Maoni

wakuu fuatilieni hii habari maana itv walisema kuwa hivi vitabu vimeshakubaliwa na vimeingizwa kwenye mitahala ya shule za msingi ambapo vitatumika kuanzia darasa la V - VII (darasa la tano mpaka saba). Na pale miongoni mwa waliokuwepo ni Nyambari Nyamgwine, kwa hiyo msishangae hivi vicheko vyenu vikaishia kwenye vilio maana sina uhakika ni taasisi gani iliyo hakiki na kuthibitisha kuwa hivi vitabu vinaweza kujenga vision za watoto wetu.
Kikubwa hapa ni kuwa watu wako kwenye biashara maana zikichapwa nakala milioni 2,000,000 na nimeona wanasema bei yake ni 5,000/- @ nakala!



Mzee Makamba kawa wazi kabisa kwani kaomba vinunuliwe ili kumsaidia apunguze umaskini wake .

Nina wasiwasi kama kitakochozingatiwa ni ombi hilo au ubora wa vitabu
 
Huyu mama hijabu lilimvuka nini.........

08.jpg
 
wakuu fuatilieni hii habari maana itv walisema kuwa hivi vitabu vimeshakubaliwa na vimeingizwa kwenye mitahala ya shule za msingi ambapo vitatumika kuanzia darasa la V - VII (darasa la tano mpaka saba). Na pale miongoni mwa waliokuwepo ni Nyambari Nyamgwine, kwa hiyo msishangae hivi vicheko vyenu vikaishia kwenye vilio maana sina uhakika ni taasisi gani iliyo hakiki na kuthibitisha kuwa hivi vitabu vinaweza kujenga vision za watoto wetu.



Hapo kwenye red ndipo pananipa shida. Kiwango cha elimu kimeshuka sana, na kama hatukuwa serious kuhusu aina ya vitabu vya kufundishia tutaangamiza kizazi kijacho. Na mara nyingi ukishakosea mwanzo yaani kwenye elimu ya msingi inakuwa vigumu sana kumjenga mtoto huku mbeleni. Mzee Makamba ana 'intellect' gani kiasi kwamba serikali inachukuwa vitabu vyake? Ni chombo gani kinahusika ku-screen aina ya vitabu vinavyotumika mashuleni?
 
Hapo kwenye red ndipo pananipa shida. Kiwango cha elimu kimeshuka sana, na kama hatukuwa serious kuhusu aina ya vitabu vya kufundishia tutaangamiza kizazi kijacho. Na mara nyingi ukishakosea mwanzo yaani kwenye elimu ya msingi inakuwa vigumu sana kumjenga mtoto huku mbeleni. Mzee Makamba ana 'intellect' gani kiasi kwamba serikali inachukuwa vitabu vyake? Ni chombo gani kinahusika ku-screen aina ya vitabu vinavyotumika mashuleni?
kuna thread nyingine hapa Mh. Mwigulu Nchemba anasema viwango vya ufaulu vishushwe ili watoto zaidi wafaulu. CCM wanatupeleka pabaya kuzidi tunavyofikiri

 
Back
Top Bottom