Msongoru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 306
- 24
Wadau! Nimeamua kwenda kulima... nimekata shauri kuwa mkulima lakini wa kisasa. Tafadhali naomba msaada wa yeyote mwenye vitabu vya ELIMU YA KILIMO anisaidie. Ikiwa kwenye soft copy itakuwa vizuri, vinginevyo bado nitashukuru. Vikiwa kwenye lugha ya kiswahili (kama vipo) itakuwa vizuri vinginevyo nitashukuru pia..
Natanguliza shukrani zangu za dhati..
Natanguliza shukrani zangu za dhati..