Hawajajifungua tu ule ujauzito waliopewa na nani vile jamani?
Pia wote wameacha Mauchafu videvuni mwao. Dawa ni kuwatafutia wembe na kinyozi mahili wa kuwanyoa madevu yao ndio watapata akili.Hebu dadavua;
Hhamad Rashid anafungua tawi la CUF au lake? Maana sioni mantiki ya katibu wao kupinga - wote wazanzibari, wapemba, wanaume, majina yao Hamadi; kulikoni watu hawa fujo ughaibuni?
Halafu chunguza suti zao, wote suruali zao hazifiki kwenye kisigino........Pia wote wameacha Mauchafu videvuni mwao. Dawa ni kuwatafutia wembe na kinyozi mahili wa kuwanyoa madevu yao ndio watapata akili.
Hawa wapemba vipi? Si ndio hawa hawa kila siku wanapiga makelele Zanzibar ijitenge? Wapi na wapi kufungua matawi Manzese? Si wakafungue huko Kibanda Maiti na Mchamba Wima? Maugomvi yao ya ndani wasituletee hapa! Kweli Tanganyika tamu nimeamini.
Kweli Tanaganyika kutamu, na huyu Hamad Rashid anaishi Mikocheni Dar es salaam.
Hofu yangu ni kwamba,siku moja Hamad Rashid yanaweza kumkuta kama yale yaliyomkuta Prof Safari.
Leo saa tatu Hamad Rashid anafungua tawi jipya la Cuf Manzese karibu na mtaa wa Kosovo.
Seif katoa order kwa Mtatiro kuzuia. (STF) watatumwa hapo
Kwani wewe huwajui KAFU? Tatizo ni ile deen yao. Seif ni Msunni na Hamad Rashid ni M-shia.
Hawa ndugu wa mke wana visa sana!!!
CCM watajuta kukioa hiki chama!!
Kweli Tanaganyika kutamu, na huyu Hamad Rashid anaishi Mikocheni Dar es salaam.
Nyerere aliwatimua wote hao kutoka CCM kwa uroho wa madaraka na ubinafsi wa upemba.Sasa Hamad Rashid kakosa uongozi wa upinzani bungeni bila kutarajia na CCM wakashindwa kumsaidia dhidi ya Chadema sasa anaua chama chake.Dhambi ya ubaguzi hiyo!!