KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hivi bakwata wana taarifa na huu mkutano?
Hivi ndoa ya chadema na cuf iliishiaga wapi?na je ni nani aliolewa nyie au wao?
Hivi bakwata wana taarifa na huu mkutano?
Halafu mwisho wa siku watakuwa kama Somalia...!Mwl alishawaambia Uzanzibar uko tu wawapo ndani ya Tanzania wakishaodnoka huko kuna Unguja na Pemba na wakigawanyika tena utasikiwa mimi M-Wawi na Mimi M-Chake hakuna cha upemba wala uunguja dhambi ya u-selfish haijawahi zaa upendo na umoja hata siku moja the devil is a liar!
Hivi ndoa ya chadema na cuf iliishiaga wapi?na je ni nani aliolewa nyie au wao?
Tatizo ni nini mpaka watofautiane?
Comments kibao... habari haionyeshi nini chanzo cha ugonvi wao, nini wanagombania, kuna kosa gani limetendeka... cha zaidi haina hata mwendelezo. kama mtoa habari amepika ili kupima hisia zetu, amefanikiwa kiasi kikubwa. tumelipuka na hasira na kumaliza yote yaliyo mioyoni mwetu...
Kimtokacho mtu kinywani ndicho kilichoujaza moyo wake!
Sababu hasa ya ugomvi wao nini?
Halafu ni kwa nini Seif anazuia kufunguliwa kwa Tawi ilhali ni jambo la Heri kwa CUF?
Mbona hata CCM (Riz1) aliwazuia UVCCM-Arusha wasifungue matawi?ndiyo wapewe nchi hawa mambo madogo sana ya faida ya chama chao wote wanagombana
Hivi ndoa ya chadema na cuf iliishiaga wapi?na je ni nani aliolewa nyie au wao?
Hawa ndugu wa mke wana visa sana!!!
CCM watajuta kukioa hiki chama!!
Hawa wapemba vipi? Si ndio hawa hawa kila siku wanapiga makelele Zanzibar ijitenge? Wapi na wapi kufungua matawi Manzese? Si wakafungue huko Kibanda Maiti na Mchamba Wima? Maugomvi yao ya ndani wasituletee hapa! Kweli Tanganyika tamu nimeamini.
Nini sababu ya ugomvi wao? Je tawi lilifunguliwa? Nani mshindi katika sakata.Hapo hapatoshi, mmoja Mzanzibari na Mwingine Mpemba. Na navyoujua ubomvi wa jikoni, sasa hivi wataanza kuweka siri zao hadharani. Ila kwa kifupi Hamad Rashid Hamad anamwonea wivu mwenzie kala shavu na yeye kabakia na kazi ya kukuwadia miswada ya mume mjengoni tu, haina maslahi kama chai ya Ikulu
Hawa wapemba vipi? Si ndio hawa hawa kila siku wanapiga makelele Zanzibar ijitenge? Wapi na wapi kufungua matawi Manzese? Si wakafungue huko Kibanda Maiti na Mchamba Wima? Maugomvi yao ya ndani wasituletee hapa! Kweli Tanganyika tamu nimeamini.
Labda hamad rashid anataka kuwa makamu wa rais, sijui katiba yao inasemaje
hahaaa ataweza kukaa Pemba? Maana hata umeme wenyewe wa manati barabara za rami anasa.