Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Comments kibao... habari haionyeshi nini chanzo cha ugonvi wao, nini wanagombania, kuna kosa gani limetendeka... cha zaidi haina hata mwendelezo. kama mtoa habari amepika ili kupima hisia zetu, amefanikiwa kiasi kikubwa. tumelipuka na hasira na kumaliza yote yaliyo mioyoni mwetu...
Kimtokacho mtu kinywani ndicho kilichoujaza moyo wake!
Ugomvi wao, soma MwanaHALISI la Jumatano iliyopita. Lilianika kila kitu.