Visasi vya JK kwa watu wa Arusha? Ahamishia mkutano wa wakuu wa EAC Dar

Logically huu ndiyo ukweli kwamba anajua swala la umeya bado ni tata na kama president atajisikia embarased kama lolote litatokea kutoka kwa raia wake against yeye ukizingatia media za kimataifa zitakuwepo, so politically it could be difficult kwake kuja kufanya mkutano hapo AR hasa wakati huu ambapo CHADEMA wana utilize fully any political opportunity. Chakujiuliza atakimbia huo ukweli hadi lini?

Nafikiri alishindwa kupima political effects over economic effects. Watu wa Dar wanafoleni already kwahiyo mtu anatumia muda mwingi barabarani kwahiyo less productivity. Na kutokana na adha ya usafiri sidhani kama hao wageni wata-spend pesa zao kwenye biashara/vivutio vingi huko Dar kwasababu ya adha ya foleni. Sijui kama alilifikiria hilo pia.
 
nashangaa wanaokuja na hoja za protest..watu wanaandamana kwenye mikutano ya G8 Itakuwa huku..tena maandamano ya amani yanaonesha level ya civilialization ipo juu.

Impact ya hayo maandamano ndicho kilichokwepwa imagine media zinge report ingebidi state man ashangawe na jumuia za kimataifa kwamba ana PhD ya ku suluhisha migogoro lakini ya kwake imemshinda hiyo si ni political damage kwake?
 
nakubaliana mkuu Ame kwani kikwete akibuka tu hapa lazima zomezome zinge mhusu kama meya wake na pengine maandamano yangefanyika
 
Naona watu wa giza wameamua kumpinga PM. Watu makini wameangalia hii issue katika picha kubwa..ni kwamba ukweli utasimama kuwa ukweli.
 
Ingependeza kama angechukuwa na majengo yote ya Arusha. Hiyo haitasaidia lolote zaidi ya hasira za wana Arusha kwa yeyote ambaye atakuja kugombea kwa tiketi ya CCM. Wafanyie mikutano Dar au Dodoma bado wana Arusha wataendelea kuwepo tu na wataendelea kupinga upuuzi na ubabe wa CCM.
 
Hata wanawake wanatofautiana sana! Ila kwa uzoefu wangu wakubadilisha wanawake, kabila hili la wakwere mwanaume na mwanamke wanalingana ni kabila lenye umbeya,majungu,fitina.sifa,ngonooo na kichwani hamna kitu namaanisha kweupeeee! Nimelazimika kuweka ukabila si kuwagawa watz la hasha bali kutambua hulka za kikabila!
 
Rais amechemsha hapa Dar tuna majimbo mawili Ubungo na Kawe. Labda nitoe ufafanuzi zaidi ni namna gani Rais amechemsha. Jimbo la Kawe linahusisha maeneo kama Masaki na Oysterbay maneo ambayo ni makazi ya viongozi wengi wa serikali ambao waliamua kumpiga kura dada yangu Mdee, Ni maeneo hayo yana wakazi ambao wapo very well informed, wafanyabiashara, na matajiri wengine wengi.

Jimbo la ubungo ndiko ambako kuna kinu cha kuzalisha wasomi hapa nchini, ubungo kuna kituo cha Uwekazaji mlimani city, Ubungo kuna kituo cha umeme, ubungo ndio jimbo lenye wakazi wengi zaidi hapa Tanzania. Takribani milioni 4, ni sawa na kisiwa cha Zanzibar kama anavyosema kaka yangu Mnyika siku zote. Kitendo cha kukimbizia Mkutano Dar na kufikiri kama amemkimbia braza Lema, Rais amechemka sana. Huku ndio kuna visiki vya mpingo.Na 2015 tunachukua SEGEREA, TEMEKE, KIGAMBONI, KINONDONI na majimbo yote, na huo ndio mwisho wa mbwembwe za Rais na ubrazameni wake wote utamwisha atakapoona CCM inakufa kifo cha mende 2015.
 
hAO MNAOWATAJA ..KAGAME NA NKURUZINZA NDIO WASAIDIZI WAO WALIOKUWA ARUSHA KUANDAAA MKUTANO HUU WALIKUWA WAKIPINGANA NA WATU WA SERIKALI YETU KULETA MKUTANO DAR...KWA KUWA UZOEFU UMEONESHA WANAPATA USUMBUFU MKUBWA WAKIWA DAR ,...NA HATA WAO WANAONA USUMBUFU WANAOSABABISHA ..TOFAUTI NA WAKIWA ARUSHA......
KIUKWELI WALISHANGAA SANA KWA NINI SERIKALI ILIKUWA INAWABURUZA KUJA DAR..THAT IS INSIDE STORY ...ANAEWEZA KUPATA MUDA AONGEE NA WATU WA PROTOCAL WA HAYA MATAIFA WATAWAAMBIA,,,...

PHILLEMON, PLZ KTK HILI UNASEMA UONGO,TENA UONGO MKUBWA TU! YES JK ANA MAPUNGUFU YAKE LAKINI SIYO HILI LA MKUTANO HUU-EAC WANA KAWAIDA YA KUWA NA MIKUTANO YA UWEKEZAJI IN ROTATIONAL BASIS NA ALWAYS MIKUTANO HII HUHUSISHA UWEPO WA WAKUU WOTE WA NCHI ZA JUMUIA,KWA KUWA MIKUTANO HII HUFANYIKA KATIKA CAPITALS PIA NADHANI IMEKWISHAFANYIKA KTK NCHI NYINGINE, MWAKA HUU NI ZAMU YA DAR. MIKUTANO II ALWAYS UFUATIWA NA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI KUTAKE ADVANTEGI YA UWEPO WAO ILI KUEPUSHA GARAMA ZA KUWAITISHA MALA MBILI. SIKUHAMINI KAMA ATA MM UMEINGIA MTEGO UU MASKINI. IVI NAIROBI AU KAMPALA AMBAKO HAWA JAMAA HUWA WANAKUTANA AMNA JAM? (Mwenye data atupe). UNASEMA UZOEFU UNAONYESHA,NI UZOEFU GANI UO UNAOSEMA ULIHOTOKANA NA WAKUU AO KUKUTANA DAR? MSIGEUZE JF KUWA UDAKU JAMAN
 
Logic pekee ni kusema mkutano huo umefanyikia Dar kwa sababu ya Investment Forum na viongozi hao walitakiwa kuhudhuria. Vinginevyo suala la usalama halipo. Ingekuwa hivyo basi viongozi wa EaC na IcTR waliopo wangeondolewa!

Thanks msando! Huyu ndo mjenzi wa kweli wa chadema, hawa wengine ata awafikili,just wanadhani then wana-conclude, lol hatari sana kama jf ina uongo namna hii!
 
JK wetu jana alitoa sababu ya mkutano huu wa EAC kufanyika hapa Dar. Mwakani utafanyika Bujumbura. Endeleeni kumkomalia baba wa watu kwa mambo mengine yako mengi aliyo na atakayovurunda.
 
Nungunungu ..umerudi ...??,mswahili na mwenzake wako wapi......ile SI UNIT ya kuchemcha..du i remember those old days here at JF..............WELL THESE IS CRAP .....unahalalisha visasi kwa kina mashishanga....?.........ni kawaida ya watu wajinga wakiiishiwa hoja huja na sababu za kuwa wanaonewa kwa ajili ya dini..hakuna kitu kama hicho ..fanya kazi!!

Mkuu mimi ninafanyakazi sana na ndio maana post zangu ni chache! Lakini nipo na tazama record yangu utaona mara ya mwisho nilichangia lini.

Kuna watu wakichangia hata kama wanashambulia unajua ni maoni yao binafsi lakini kwa watu kama ninyi mliopewa dhamana fulani, mnachofanya ni usaliti.

Mimi sihalalishi visasi lakini wewe unataka watu wamuhurumie Mashishanga lakini hutaki kusema uhuni alioufanya wakati wa kura za maoni. Ungekuwa mkweli ungeeleza na upande wa pili lakini kwa chuki zako huwezi kufanya hivyo.

Labda kwa vijana wageni lakini anaefuatilia post zako ataziona sura zako tatu waziwazi. Kwa upande ni afisa wa muda mrefu wa serikali, upande Chadema na kwingine Mdini.

Nipo mkuu.
 
Tumechoka na mambo ya uvumi na ya kufikirika yasiyo hata na msingi. Kwanza kama kupingana na JK ndiyo uadui basi Mwandosya, Mwakyembe, Mary Nagu, Magufuli, Kagasheki na wengine wengi wasingekuwa mawaziri au Njoolay asingekuwa RC, maana hao wote walipinga ugombea wake. Haya ni mambo yasiyo na msingi na hata hili la kuhamisha mkutano kutoka arusha kuja dar es salaam ni porojo zisizostahili hata kutupotezea muda. Kama ingekuwa hivyo basi hata vikao vya Council of Ministers ambavyo vimekuwa vikifanyika mpaka mwisho wa wiki iliyopita vingekuwa vimehamishwa. Suala la mkutano ufanyikie wapi ni suala la convenience na ingewezekana kufanyikia hata Tabora. Hivi Arusha kuna nini cha ajabu alichofanyiwa JK ,mpaka awalipizie visasi maana kama ni wabunge wa upinzani basi Mkoa wa Mwanza una wapinzani wengi kuliko Arusha. Hoja nyingine ni potofu mpaka inakera.
Convenience?Akili yako inaukurutu km ya wale wazazi wa kwenye tangazo la kwenye tv ambao mtoto wao alifukuzwa shule kwasababu badala ya kumsikiliza mwalim yeye alikuwa anachati kwa sms,aliporudi yumbani na kuwaeleza wazazi wake walikuja juu wakamtetea binti yao.
 
Serikali imefanya jambo la busara kuleta huu mkutano DSM maana Mh Lema alivyokuwa na akili finyu na chama chake kinachoongozwa na daktari wa fujo wangeweza kutumia nafasi hiyo kubeba mabango kuingia barabarani na kulitia taifa aibu, pebngine hata hiyo EAC wajumbe wangeihamisha iende Kenya.
 
Serikali imefanya jambo la busara kuleta huu mkutano DSM maana Mh Lema alivyokuwa na akili finyu na chama chake kinachoongozwa na daktari wa fujo wangeweza kutumia nafasi hiyo kubeba mabango kuingia barabarani na kulitia taifa aibu, pebngine hata hiyo EAC wajumbe wangeihamisha iende Kenya.

...acheni kuwa na akili dumavu..maandamano ya amani sio jambo la ajabu ....watua wanaandamana white house daily...watu wanaandamana kwenye mikutano yote mikubwa ya dunia G8,MAZINGIRA,ASIAPACIFIC,G22 etc.......

hiyo kenya ambayo unasema wangesema makao makuu yahamie kwa ...mbona umoja wa mataifa HQ afrika haikuhamishwa nairobi mwaka 2007?,,,na wiki nzima hii nairobi na kampala kuna maandamano ya kupanda kwa gharama za maisha ....maandamano ambayo hapa kwetu CHADEMA Waliyafanya mwezi wa february mkawaona wanavunja amani....
 
Mkuu mimi ninafanyakazi sana na ndio maana post zangu ni chache! Lakini nipo na tazama record yangu utaona mara ya mwisho nilichangia lini.

Kuna watu wakichangia hata kama wanashambulia unajua ni maoni yao binafsi lakini kwa watu kama ninyi mliopewa dhamana fulani, mnachofanya ni usaliti.

Mimi sihalalishi visasi lakini wewe unataka watu wamuhurumie Mashishanga lakini hutaki kusema uhuni alioufanya wakati wa kura za maoni. Ungekuwa mkweli ungeeleza na upande wa pili lakini kwa chuki zako huwezi kufanya hivyo.

Labda kwa vijana wageni lakini anaefuatilia post zako ataziona sura zako tatu waziwazi. Kwa upande ni afisa wa muda mrefu wa serikali, upande Chadema na kwingine Mdini.

Nipo mkuu.


aaah ,...eti eeeh...box jema basi!!
 
JK wetu jana alitoa sababu ya mkutano huu wa EAC kufanyika hapa Dar. Mwakani utafanyika Bujumbura. Endeleeni kumkomalia baba wa watu kwa mambo mengine yako mengi aliyo na atakayovurunda.


Huyo JK " WENU " alitoa sababu gani?......nadhani washauri wake mtakuwa mlimuambia kuwa tayari anapewa za uso huku JF
 
Back
Top Bottom