Nourhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 847
- 1,882
AsanteAisee!!! Nahisi kukasirika lakini sijui nimkasirikie nani! Pole sana!
AsanteAisee!!! Nahisi kukasirika lakini sijui nimkasirikie nani! Pole sana!
Naunga mkono hojaTujitahidi vijana wapande ndege wakiwa bado mapema
hizi zinaitwa pasi ndefuu...!noma sana uzuri ndege haichoshi sana km juu kumetulia, unalala unaangalia movie, unalala tena unaangalia movie, mpk unafika.😃2007 Bongo- Nairobi-London-New York-Dallas-Nebraska one way. hadi nilichoka mwenyewe! Duh
Hongera Sana2007 Bongo- Nairobi-London-New York-Dallas-Nebraska one way. hadi nilichoka mwenyewe! Duh
duh kweli ushamba ni mzigo kwangu..kwahiyo mavi yanabaki kwenye ndege au yanadondoka chini halafu yana peperushwa na upepo? Yani sielewi hata vyoo vya treni na meli vipoje, aise ushamba ni mzigo kweli...Ushamba mzigo .nilipanda ndege nikaumwa na mkojo nafika chooni sioni shimo aisee nilipagawa .nilisoma Kila kitu ndani Hadi nikaona kitufe Cha kubinya ndio daaah choo kinafunguka.
Haukujisahau kwamba upo angani?2007 Bongo- Nairobi-London-New York-Dallas-Nebraska one way. hadi nilichoka mwenyewe! Duh
Pole bossNdege haizoeleki
Kuna siku rubani sijui ndege kama ilimzidi uwezo
Tulitua uwanja wa kisongo ule ni kama aliiachia au ilimponyoka hv kilisikika kishindo kikubwa puuuu
Nilipaniki roho mkononi
Kwenye ndege kuna tank la kuhifadhia uchafu(kinyesi) ndege ikitua huwa wanaenda kuumwaga.duh kweli ushamba ni mzigo kwangu..kwahiyo mavi yanabaki kwenye ndege au yanadondoka chini halafu yana peperushwa na upepo? Yani sielewi hata vyoo vya treni na meli vipoje, aise ushamba ni mzigo kweli...
Uzi mujarabuKuna miaka nilikuwa nakesha nasoma huu uzi, yaani comment kwa comment, heko mkuu clasi, uzi ni bonge la kiburudisho!!