..Tume imegundua kwamba baadhi ya wabunge, mawaziri, pamoja na waziri mkuu Pinda, walipokea posho toka kwa Jairo.
..sasa hata ukisikiliza wabunge wengi waliochangia hawakuwa na ule munkari tena wa kutaka hatua za kinidhamu na kisheria zichukuliwe.
..particularly, Stella Manyanya amedai Mh.Ngeleja asisulubiwe eti kwasababu tatizo siyo yeye bali ni "system."
NB:
..binafsi naomba MUNGU awalaani hawa CCM waendelee kuharibu tu, ili tukiachana nao kusiwe hata na nafasi ya wao kurudi tena madarakani in the near future.
..hata wakitaka wampeleke David Jairo akawe Balozi wetu UN.
..sasa hata ukisikiliza wabunge wengi waliochangia hawakuwa na ule munkari tena wa kutaka hatua za kinidhamu na kisheria zichukuliwe.
..particularly, Stella Manyanya amedai Mh.Ngeleja asisulubiwe eti kwasababu tatizo siyo yeye bali ni "system."
NB:
..binafsi naomba MUNGU awalaani hawa CCM waendelee kuharibu tu, ili tukiachana nao kusiwe hata na nafasi ya wao kurudi tena madarakani in the near future.
..hata wakitaka wampeleke David Jairo akawe Balozi wetu UN.