kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Posho kwanza!
Wananch baadae.
Posho kwanza!
Vipi mkuu CCM wamevunja makubaliano mliyokubaliana!!? i can't beleive if this is Mwita 25 i use to know!!
Mbona kimya hatupati taarifa zozote kuhusu huyu Mheshimiwa? Yaani mkuu bado anafikiria au maamuzi yameshafanyika. Isije ikawa anatafutiwa sehemu ya kwenda kuwa Balozi-Kuiwakilisha TZ Maana TZ bwana
Yap! wabunge nao wana kashfa ya kujiongezea posho.Wakuna msafi hapo..nani wa kumfunga paka kengele..kila mtu ana kashfa.wakumwajibisha mwenzake hayupo
Yap! wabunge nao wana kashfa ya kujiongezea posho.
Lazima tuhoji bila kuchoka,
Mwaka unaishi huyu jamaa hatuimbiwi hatima yake.
WHy??
Tuamake tupaze sauti zetu, michezo michafu kama hii isijirudie
Lazima tuhoji bila kuchoka,
Mwaka unaishi huyu jamaa hatuimbiwi hatima yake.
WHy??
Tuamake tupaze sauti zetu, michezo michafu kama hii isijirudie
Mbona kimya hatupati taarifa zozote kuhusu huyu Mheshimiwa? Yaani mkuu bado anafikiria au maamuzi yameshafanyika. Isije ikawa anatafutiwa sehemu ya kwenda kuwa Balozi-Kuiwakilisha TZ Maana TZ bwana