Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

are you Mwita25 you used to positively comment on Jk and his rubbishes? you are born agan my friend and count yourself that you are in good position now. gooood.
we really need to be open and shout when things go wrong no matter who has let that be. JK

Mwita25 ni Msanii tu kama wenzake Wanaotutawala, zaidi usanii alionao ni Msaliti pia, maana anajua jinsi Jairo alivyo-collude na TISS kuhujumu uchaguzi wa 2010 dhidi ya matakwa ya wananchi.
 
we had already seen his colour. he is a crying baby!


Mwita25 ni Msanii tu kama wenzake Wanaotutawala, zaidi usanii alionao ni Msaliti pia, maana anajua jinsi Jairo alivyo-collude na TISS kuhujumu uchaguzi wa 2010 dhidi ya matakwa ya wananchi.
 
chezea serikali ya jakaya wewe ii serikali noma kwani we umesahau ishu ya jakaya mara babu wa loriondo ishu ya nishati sasa posho za wabunge ishu ya gamba lf ishu ya hamad nb seid watanzania tuna sahau inapita iyo.
 
chezea serikali ya jakaya wewe ii serikali noma kwani we umesahau ishu ya jakaya mara babu wa loriondo ishu ya nishati sasa posho za wabunge ishu ya gamba lf ishu ya hamad nb seid watanzania tuna sahau inapita iyo ikija ishu kubwa inatafutwa nyingine ya kupunguza malali mpaka tunasahau.
 
Hata wakinyamaza............... MUNGU MTETEZI WA WANYONGE ..........IKO SIKU ATAINGILIA KATI NA KUTOA ADHABU YAKE..... HATA KAMA YUKO BUSY ANAKULA TU MAHELA YA UFISADI ..............SIKU MOJA ATATAPIKA HIVYO ANAVYOKULA .............

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Hata wakinyamaza............... MUNGU MTETEZI WA WANYONGE ..........IKO SIKU ATAINGILIA KATI NA KUTOA ADHABU YAKE..... HATA KAMA YUKO BUSY ANAKULA TU MAHELA YA UFISADI ..............SIKU MOJA ATATAPIKA HIVYO ANAVYOKULA .............

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Jamani mungu anakazi nyingi sasa na hili la Jairo tena akilifanyia kazi tuna kuwa hatutimizi wajibu wetu kwake, Mungu ametupa akili na utashi wa kufanya maamuzi kati ya baya na zuri.
Hili ni suala la JK kufanya maamuzi kutokana na utashi wake.
 
Hayo ni maamuzi magumu sana,ni lazima kwanza ccm wakae kama kamati kwa muda wa mwezi mzima Dodoma ili kukubaliana kuhusu mwisho wa huyu ndugu
 
Tatizo la Hiki Chama ni kwamba...wanaharibu kila kukicha....hatujasahau moja, wanaturushia kombora lingine. The way I see it, Jairo anaendelea kula raha zake akisubiria kustaafu....cause hakuna wa kumfunga paka kengele! Wote wana dhambi hakuna wa kumtupia Jairo Jiwe
 
JK has no guts to demote Jairo not to mention dismissing him. Jairo is purpoted to have been in possession of many state secrets and he has played vital role in putting JK into power in both of previous elections. His close association to JK was consolidated during 2010 elections when he actively colluded with TISS to print phantom ballot papers in a large-scale plot to rig the vote in favour of Kikwete. Given this loyal affiliation between the two, one may anticipate how hesitant JK might be as regards execution of recommended punitive measures against his confidant Jairo.

Mind you the saga is not for Jairo alone, it involves Cheif Secretary and AG!
Kigugumizi, that is why I love politics
 
JK has no guts to demote Jairo not to mention dismissing him. Jairo is purpoted to have been in possession of many state secrets and he has played vital role in putting JK into power in both of previous elections. His close association to JK was consolidated during 2010 elections when he actively colluded with TISS to print phantom ballot papers in a large-scale plot to rig the vote in favour of Kikwete. Given this loyal affiliation between the two, one may anticipate how hesitant JK might be as regards execution of recommended punitive measures against his confidant Jairo.

Credits to Moi: he taught CCH how to rig elections when Mrema alipokwua hot cake!
Moi: professor of politics!
 
JK has no guts to demote Jairo not to mention dismissing him. Jairo is purpoted to have been in possession of many state secrets and he has played vital role in putting JK into power in both of previous elections. His close association to JK was consolidated during 2010 elections when he actively colluded with TISS to print phantom ballot papers in a large-scale plot to rig the vote in favour of Kikwete. Given this loyal affiliation between the two, one may anticipate how hesitant JK might be as regards execution of recommended punitive measures against his confidant Jairo.

Du huyu mkurya tangu afahamu kiingereza imekuwa nongwa humu JF.
 
JK has no guts to demote Jairo not to mention dismissing him. Jairo is purpoted to have been in possession of many state secrets and he has played vital role in putting JK into power in both of previous elections. His close association to JK was consolidated during 2010 elections when he actively colluded with TISS to print phantom ballot papers in a large-scale plot to rig the vote in favour of Kikwete. Given this loyal affiliation between the two, one may anticipate how hesitant JK might be as regards execution of recommended punitive measures against his confidant Jairo.

Mkuu wewe ndio umeongea ukweli, kama mtanzania anayejua hali halaisi ya nchi yake(hasa linapokuja swala la sheria, haki na taratibu). For sure nothing will happen to him. Kitapigwa Kiswahili lakini tutakaoumia ni sisi watanzania, and life will go on. Hatafanywa kitu chochote. Subiri uone.
 
JK has no guts to demote Jairo not to mention dismissing him. Jairo is purpoted to have been in possession of many state secrets and he has played vital role in putting JK into power in both of previous elections. His close association to JK was consolidated during 2010 elections when he actively colluded with TISS to print phantom ballot papers in a large-scale plot to rig the vote in favour of Kikwete. Given this loyal affiliation between the two, one may anticipate how hesitant JK might be as regards execution of recommended punitive measures against his confidant Jairo.

This account has been hacked!
 
Wameiteka ajenda ya posho kusahaulisha Jairo saga!!JK naona anajuta kwa nini alitumia nguvu nyingi na pesa tele kuutaka urais...sasa nchi inamshinda na inayumba!!ole wao aje apate Pres ambaye atafukua kila jiwe....
 
Hata wakinyamaza............... MUNGU MTETEZI WA WANYONGE ..........IKO SIKU ATAINGILIA KATI NA KUTOA ADHABU YAKE..... HATA KAMA YUKO BUSY ANAKULA TU MAHELA YA UFISADI ..............SIKU MOJA ATATAPIKA HIVYO ANAVYOKULA .............

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Mimi hii misemo yenu ya bahati na sibu inanikera sana.
 
Back
Top Bottom