kisale wakisale
Senior Member
- Dec 18, 2016
- 157
- 202
Episode 5
Baada ya kuingizwa kwenye gari nkawakuta jamaa wengine wawili walovalia mavazi yanayofanana na wale walonikamata
Nkajidai kuwahoji kwani nmefanya nn hadi kunikamata vile?Jamaa mmja akanijbu kwa usalama wangu natakiwa kutulia tuu lkn endapo nitafanya kinyume na hapo ntawajua wale n kina nani
'Nkajidai kufoka kidume nyie wapuuzi wakubwa naomben mniambie nyie ni kina nani jamaa mmja akaniambia unataka utujue sisi ni kina nani?
Nkamjbu ndio hapo hapo nkashtukiwa nmenaswa bonge ya kofi hadi nkaona nyota na punde si punde nkaishilia kwenye usingizi wa ajabu,mara nkaanza kuota wamemkamata Isack wamemtesa sanaaa,pia haikutosha wakamkamata na cheupe wangu
Salaleeee roho ikapitwa kuona jamaa wamemchukua ka moyo mashine kangu
Hahahaha
Itaendelea baadae
Kupata hadithi hii tafadhali tuma neno Bold kwenda namba 001 Nifah
Nifah nataka niweze kusoma muendelezezo wa story ya vipepeo weusi nafanyaje au ndo had uonganishwe