mkuu mzizimkavu nisaidie najua uwezo unao na nia unayo yakusaidia jf nina siku kama mbili hiv kuna vipele vimetokea mguuni nikivikuna vinawasha nimepaka dawa bbe lkn haisaidi je mkuu nitumie dawa gani za mitishamba au za hsp na niugonjwa gani huu nawasilisha