Madhumun ya chama chochote cha siasa kama ilivyo chama chetu CHADEMA ni kushika dola kumekuepo na mwamko mkubwa wa wapenda mabadiliko katika nchi yetu kuona CHADEMA inachukua dola ili kuja na mapinduz ya kimfumo na utawala ambayo kwa tanzania ya leo ni lazima yatokee kutokana na taifa kama taifa kupoteza mwelekeo.CCM imeshindwa kabisa kwenda na changamoto za kiuchumi ambazo ni haki ya kila mtanzania mzalendo wa taifa hili angepaswa kufaidika na lundo la rasilimali tulizojaliwa miaka 50 tokea kupata uhuru taifa limekosa uzalendo wa kiutendaji ambao unasababishwa na mfumo wa kulindana kwa maslah ya CCM hvyo watanzania kuendelea kutaabika kila uchao.CHADEMA ndio kimbilio,tumaini na dira ya kila mtanzania mpenda haki na fursa sawa za kiuchumi ambazo kwa sasa CCM imefanya ni haki kwa aliye katika mfumo wao kifisad na familia zao bila kujali maslah mapana yataifa hili.HVYO CHADEMA inatupasa kufanya yafuatayo kila m2 kwa nafasi yake ndan ya CHADEMA na kwa wale wote ambao wamechoshwa na mfumo dhalimu wa CCM kwa muda mrefu kielelezo ni kufuatia baadhi ya majina ambayo yanatajwa kuwa ni magamba ndan ya CCM kuendelea kupewa nafas ya uongoz ndan chama.1.kila mtanzania awe na kitambulisho kupiga kura 2014 kama umri unamruhusu.2.Tuhakikishe tuna uongozi na ofisi ngazi za msingi nchi nzima .3.Uongoz wa makao makuu uhakikishe unafanya kaz kwa karibu na viongoz wote wa ngaz za chini.4.Tueleze kwa uwazi dhamira yetu kw watanzania wote mwelekeo wetu kisera na kiuchumi katika nyanja zote(YAANI SERA NA MWELEKEO MBADALA AMBAYO CCM KWA MIAKA 50WAMESHINDWA) 5.Mikutano inayofanyika iwe na mrejesho kwan CCM wana mbinu ya kupita kila CHADEMA ilpofanya mkutano hvyo wasijisahau kukaa na kuendelea kujua kwamba mikutano bila mrejesho na uhakiki wa kujua mafanikio ni muhimu zaid ni hayo tu.wakuu mnaweza kuendelea kuongeza mengine kwa maslah yataifa letu linaloanguka TANZANIA BILA CCM 2015 INAWEZEKANA TUKIAMUA KWA PAMOJA