Viongozi,wanachama na wapenzi wa chadema tuhakikishe tunafanya haya kama tunataka kushika dola 2015

Magesi

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
2,587
573
Madhumun ya chama chochote cha siasa kama ilivyo chama chetu CHADEMA ni kushika dola kumekuepo na mwamko mkubwa wa wapenda mabadiliko katika nchi yetu kuona CHADEMA inachukua dola ili kuja na mapinduz ya kimfumo na utawala ambayo kwa tanzania ya leo ni lazima yatokee kutokana na taifa kama taifa kupoteza mwelekeo.CCM imeshindwa kabisa kwenda na changamoto za kiuchumi ambazo ni haki ya kila mtanzania mzalendo wa taifa hili angepaswa kufaidika na lundo la rasilimali tulizojaliwa miaka 50 tokea kupata uhuru taifa limekosa uzalendo wa kiutendaji ambao unasababishwa na mfumo wa kulindana kwa maslah ya CCM hvyo watanzania kuendelea kutaabika kila uchao.CHADEMA ndio kimbilio,tumaini na dira ya kila mtanzania mpenda haki na fursa sawa za kiuchumi ambazo kwa sasa CCM imefanya ni haki kwa aliye katika mfumo wao kifisad na familia zao bila kujali maslah mapana yataifa hili.HVYO CHADEMA inatupasa kufanya yafuatayo kila m2 kwa nafasi yake ndan ya CHADEMA na kwa wale wote ambao wamechoshwa na mfumo dhalimu wa CCM kwa muda mrefu kielelezo ni kufuatia baadhi ya majina ambayo yanatajwa kuwa ni magamba ndan ya CCM kuendelea kupewa nafas ya uongoz ndan chama.1.kila mtanzania awe na kitambulisho kupiga kura 2014 kama umri unamruhusu.2.Tuhakikishe tuna uongozi na ofisi ngazi za msingi nchi nzima .3.Uongoz wa makao makuu uhakikishe unafanya kaz kwa karibu na viongoz wote wa ngaz za chini.4.Tueleze kwa uwazi dhamira yetu kw watanzania wote mwelekeo wetu kisera na kiuchumi katika nyanja zote(YAANI SERA NA MWELEKEO MBADALA AMBAYO CCM KWA MIAKA 50WAMESHINDWA) 5.Mikutano inayofanyika iwe na mrejesho kwan CCM wana mbinu ya kupita kila CHADEMA ilpofanya mkutano hvyo wasijisahau kukaa na kuendelea kujua kwamba mikutano bila mrejesho na uhakiki wa kujua mafanikio ni muhimu zaid ni hayo tu.wakuu mnaweza kuendelea kuongeza mengine kwa maslah yataifa letu linaloanguka TANZANIA BILA CCM 2015 INAWEZEKANA TUKIAMUA KWA PAMOJA
 
Madhumun ya chama chochote cha siasa kama ilivyo chama chetu CHADEMA ni kushika dola kumekuepo na mwamko mkubwa wa wapenda mabadiliko katika nchi yetu kuona CHADEMA inachukua dola ili kuja na mapinduz ya kimfumo na utawala ambayo kwa tanzania ya leo ni lazima yatokee kutokana na taifa kama taifa kupoteza mwelekeo.CCM imeshindwa kabisa kwenda na changamoto za kiuchumi ambazo ni haki ya kila mtanzania mzalendo wa taifa hili angepaswa kufaidika na lundo la rasilimali tulizojaliwa miaka 50 tokea kupata uhuru taifa limekosa uzalendo wa kiutendaji ambao unasababishwa na mfumo wa kulindana kwa maslah ya CCM hvyo watanzania kuendelea kutaabika kila uchao.CHADEMA ndio kimbilio,tumaini na dira ya kila mtanzania mpenda haki na fursa sawa za kiuchumi ambazo kwa sasa CCM imefanya ni haki kwa aliye katika mfumo wao kifisad na familia zao bila kujali maslah mapana yataifa hili.HVYO CHADEMA inatupasa kufanya yafuatayo kila m2 kwa nafasi yake ndan ya CHADEMA na kwa wale wote ambao wamechoshwa na mfumo dhalimu wa CCM kwa muda mrefu kielelezo ni kufuatia baadhi ya majina ambayo yanatajwa kuwa ni magamba ndan ya CCM kuendelea kupewa nafas ya uongoz ndan chama.1.kila mtanzania awe na kitambulisho kupiga kura 2014 kama umri unamruhusu.2.Tuhakikishe tuna uongozi na ofisi ngazi za msingi nchi nzima .3.Uongoz wa makao makuu uhakikishe unafanya kaz kwa karibu na viongoz wote wa ngaz za chini.4.Tueleze kwa uwazi dhamira yetu kw watanzania wote mwelekeo wetu kisera na kiuchumi katika nyanja zote(YAANI SERA NA MWELEKEO MBADALA AMBAYO CCM KWA MIAKA 50WAMESHINDWA) 5.Mikutano inayofanyika iwe na mrejesho kwan CCM wana mbinu ya kupita kila CHADEMA ilpofanya mkutano hvyo wasijisahau kukaa na kuendelea kujua kwamba mikutano bila mrejesho na uhakiki wa kujua mafanikio ni muhimu zaid ni hayo tu.wakuu mnaweza kuendelea kuongeza mengine kwa maslah yataifa letu linaloanguka TANZANIA BILA CCM 2015 INAWEZEKANA TUKIAMUA KWA PAMOJA

Mengine ni haya ;
6. cdm iache udini na ukabila kwenye chama
7. uongozi uwe ni wa wote sio watu wakutoka kaskazini tu,
8. mikutano ya cdm isiwe na jazba ambazo husababisha mauaji
9. maamuzi ya vikao yawe ya busara kuliko jazba ambapo itatu cost kwenye chama km yaliyotokea mwanza
10. waache kupata ufadhili wa kada wa ccm mr thabodo,

Wakuu endeleeni ntarudi tena........
 
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe binafsi Chadema sio kimbilio la watanzania.
 
Mengine ni haya ;
6. cdm iache udini na ukabila kwenye chama
7. uongozi uwe ni wa wote sio watu wakutoka kaskazini tu,
8. mikutano ya cdm isiwe na jazba ambazo husababisha mauaji
9. maamuzi ya vikao yawe ya busara kuliko jazba ambapo itatu cost kwenye chama km yaliyotokea mwanza
10. waache kupata ufadhili wa kada wa ccm mr thabodo,

Wakuu endeleeni ntarudi tena........
Tunahitaji mambo ya msingi sio majungu
 
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe binafsi Chadema sio kimbilio la watanzania.
Ckushangai upo ndan ya mfumo wa kifisad ambao ni wachache sana kulinganisha na mamilioni ya watanzania wazalendo
 
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe binafsi Chadema sio kimbilio la watanzania.

Kweli kabisa kimbilio letu CCM mwenyekiti wetu anakaa anakenyua kenyua anapitisha vibwagizo vya NEC
Salma Kikwete
Miraji Kikwete
Mohmed Halfani KIkwete
Halfani Kikwete
Mwanaasha Kikwete
Ridhiwani kikwete vipi hapo chama letu hilo
 
Kweli kabisa kimbilio letu CCM mwenyekiti wetu anakaa anakenyua kenyua anapitisha vibwagizo vya NEC
Salma Kikwete
Miraji Kikwete
Mohmed Halfani KIkwete
Halfani Kikwete
Mwanaasha Kikwete
Ridhiwani kikwete vipi hapo chama letu hilo

Duh kweli nyani haoni..........vp Mtei anakaa kumkabidhi uenyekiti mkwewe (Mbowe), Slaa anakaa kupitisha jina la mkewe Chambiri kwenye viti maalum, Mbowe anakaa kupitisha jina na Lucy owenya na Ndesamburo ambao ni mtu na mtoto wake, lissu na dada yake pia, hiki ni chama au kikundi cha wapenda madaraka ?
 
Duh kweli nyani haoni..........vp Mtei anakaa kumkabidhi uenyekiti mkwewe (Mbowe), Slaa anakaa kupitisha jina la mkewe Chambiri kwenye viti maalum, Mbowe anakaa kupitisha jina na Lucy owenya na Ndesamburo ambao ni mtu na mtoto wake, lissu na dada yake pia, hiki ni chama au kikundi cha wapenda madaraka ?

kosa mali upate akili.

Teh teh teh teh teh teh.......!
 
Duh kweli nyani haoni..........vp Mtei anakaa kumkabidhi uenyekiti mkwewe (Mbowe), Slaa anakaa kupitisha jina la mkewe Chambiri kwenye viti maalum, Mbowe anakaa kupitisha jina na Lucy owenya na Ndesamburo ambao ni mtu na mtoto wake, lissu na dada yake pia, hiki ni chama au kikundi cha wapenda madaraka ?
Acha upotoshaji baada ya Mzee mtei aliyefuatia una uhakika ni mbowe?
 
...Mbona nawe unawasemea Watanzania!? lini tulikuchagua kama msemaji wetu? Wasemee magamba wenzio.

Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe binafsi Chadema sio kimbilio la watanzania.
 
Duh kweli nyani haoni..........vp Mtei anakaa kumkabidhi uenyekiti mkwewe (Mbowe), Slaa anakaa kupitisha jina la mkewe Chambiri kwenye viti maalum, Mbowe anakaa kupitisha jina na Lucy owenya na Ndesamburo ambao ni mtu na mtoto wake, lissu na dada yake pia, hiki ni chama au kikundi cha wapenda madaraka ?

Sio umeona kuna makande hapo je Jakaya anaingiza kwenye NEC ya CCM bila kupingwa watu nane huku anafyeka Deo Lembeli,Zambi nk halafu unatuambia nini Dr Slaa na Rose kila mtu alikuwa na chama chake mpaka Rose upako wa mabadiriko ulipompata akaingia kwa kushindana na Nagu na kudhulumiwa ushindi kapigana
Mbowe kijana wa Chadema ni mmoja wa waanzailishi
Lucy Owenye muanzilishi wa Bawacha tangu chama kuanza ,Christina toka chuoni mwana siasa za mageuzi linganisha hawa na hao wanaopita bila kupingwa nyani wangu kaona kundule
 
Sio umeona kuna makande hapo je Jakaya anaingiza kwenye NEC ya CCM bila kupingwa watu nane huku anafyeka Deo Lembeli,Zambi nk halafu unatuambia nini Dr Slaa na Rose kila mtu alikuwa na chama chake mpaka Rose upako wa mabadiriko ulipompata akaingia kwa kushindana na Nagu na kudhulumiwa ushindi kapigana
Mbowe kijana wa Chadema ni mmoja wa waanzailishi
Lucy Owenye muanzilishi wa Bawacha tangu chama kuanza ,Christina toka chuoni mwana siasa za mageuzi linganisha hawa na hao wanaopita bila kupingwa nyani wangu kaona kundule
Waeleze kwn sytm ya kifisad inawasumbua
 
Nasikitishwa na uwanja unavotumiwa vibaya kwa kupigana majungu, vijana jadalini hoja za msingi ili tujenge taifa letu na sio kutupiana vijembe havitatusaidia.kama mtu katoa hoja yake basi ijibiwe kwa hoja na co kejeli na maneno yasio faa.
Napita tu...
 
Nasikitishwa na uwanja unavotumiwa vibaya kwa kupigana majungu, vijana jadalini hoja za msingi ili tujenge taifa letu na sio kutupiana vijembe havitatusaidia.kama mtu katoa hoja yake basi ijibiwe kwa hoja na co kejeli na maneno yasio faa.
Napita tu...
Watu wengine hawajui maana ya kutoa hoja
 
Back
Top Bottom