NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Nitangulie kutoa pole kwa wafiwa wote na walioguswa na msiba uliotokea jana wa shabiki wa Yanga mwenye mapenzi ya dhati na timu yake.
Natumia jukwaa hili pendwa la michezo NALIA NGWENA kutuma ujumbe wangu huu kwa Viongozi wa Yanga baada ya kupokea kibunda cha Mama hilo fungu limegwe lipelekwe kwa wafiwa nadhani kwa kutumia Wenyeviti na Makatibu wa Matawi mtawapata tu hao wafiwa.
Nawasilisha hoja.
Natumia jukwaa hili pendwa la michezo NALIA NGWENA kutuma ujumbe wangu huu kwa Viongozi wa Yanga baada ya kupokea kibunda cha Mama hilo fungu limegwe lipelekwe kwa wafiwa nadhani kwa kutumia Wenyeviti na Makatibu wa Matawi mtawapata tu hao wafiwa.
Nawasilisha hoja.