JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 114
Hii hasa ndio sababu ya kukwepa kumwambia ukweli na badala yake anasema wasaidizi ndo wabovu... anaogopa maneno yao yasiwarudie!...mlisema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu mwaka 2005 wakati wa kampeni, kwa hiyo apewe kura, leo hii mnatamka vingine tena!
Nyoosha msitari Baba Askofu; angalau waTanzania tutakuona wa maana zaidi kwa kupoza machungu ya uchafu wenu wa 2005.
======================