zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nilibandika nyuzi mbili zinazoongelea fikra za Mbowe alizozisema waziwazi kuhusu kuiongoza Tanzania kuigawa kwa kanda, hizo nyuzi zikafutwa haraka sana. Nashangaa sana, kaa ni wazo la Mbowe na ni wazo zuri, kwanini moderators wafute harakaharaka hizo nyuzi na zisijadiliwe. Inaweza kuwa ni malaika wa motoni.