anapewa nafasi ya kuongea anasema mshitakiwa yuko kwenye shughuli za kibunge ila hajui kiundani
bado anaendelea kusoma aliyoyasema wakili wa serikali kuhusiana na ujauzito wa mke wa dr na kuwa dr alikuwa dar na si alivyodaikuwa aliharibikiwa na gari maeneo ya same..
hati ya kukamatwa mshitakiwa namba tatu imefutwa lakini ya mshitakiwa namba moja inabaki pale pale yaani mbowe anatakiwa kumatwa..