Kesi inaendelea, mashataka yanasomwa for initial hearing. Mahakama inegeuka Kama soko pale wakili wa serikali alipokuwa aki nukuu baadhi ya maneno yaliyosemwa kwenye mkutano na maandamano siku ya tukio.
Wananchi wanashangilia mahakamani,
Wakili wa serikali ameingilia anadai anataka mahakama ieahiji kwanza washatakiwa Kama wanakubalu au kukataa.
Wakili wa utetezi anasema washatakiwa watahojiwa Kama wanakubalu au kukataa baada ya yeye kuongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.