Hiyo mikoa niliyo bold kuna wafuga ndevu wengi sana na zile suruali fupi fupi! Bila shaka unajua nina sema nini!!
Hiyo mikoa niliyo bold kuna wafuga ndevu wengi sana na zile suruali fupi fupi! Bila shaka unajua nina sema nini!!
HIVI jk ALISHINDA KWA KURA ZIPI?
CDM nawapa dole kwa kujipongeza ingawa kwa kutumia pesa za watanzania kupitia ruzuku
Hiyo mikoa niliyo bold kuna wafuga ndevu wengi sana na zile suruali fupi fupi! Bila shaka unajua nina sema nini!!
Hiyo mikoa niliyo bold kuna wafuga ndevu wengi sana na zile suruali fupi fupi! Bila shaka unajua nina sema nini!!
Wanasema Chadema chama cha vurugu na uvunjifu wa amani. Mbona katika umati huo hakuna aliyeripoti kuibiwa hata simu? Biashara za mjini mbona hazikuadhiriwa na lolote? Tuache uvuvuzela, Ni wakati wa kutangaza hadharani kuwa Chadema ndio chama cha Amani na kujali haki za Raia wa nchi hii. Na hakitaki UKONDOO, yaani kuonewa na kunyamaza.
Wanasema Chadema chama cha vurugu na uvunjifu wa amani. Mbona katika umati huo hakuna aliyeripoti kuibiwa hata simu? Biashara za mjini mbona hazikuadhiriwa na lolote? Tuache uvuvuzela, Ni wakati wa kutangaza hadharani kuwa Chadema ndio chama cha Amani na kujali haki za Raia wa nchi hii. Na hakitaki UKONDOO, yaani kuonewa na kunyamaza.
Huyo msigwa jumba la kifalme amelipataje,wakati wapiga kura wake wanalala njaa! Bila shaka hizo ni sadaka za waumini wake.
Na yule mfuga majini wa pale magomeni kagera sheikh ubwabwa ameshakufa, sasa sijui hawa ccm watamtumia nani tena kutishia watu na majini!