Vioja vya JK: Atunukiwa tuzo ya kimataifa ya Kilimo

Status
Not open for further replies.
Inaelekea hiyo ni tuzo kwa nchi zinazoshika mkia katika maendeleo ya dunia. Hata daraza la mabongolala huwa lina kipanga wao.
 
Jamiiforums tuangalie jinsi Rais Jimmy Carter wa USA alivyofanya mapinduzi ya KILIMO KWANZA ndani ya miaka minne ya uongozi wake ambayo Rais yoyote wa Tanzania pia anatakiwa kuwa na mkakati-unaotekelezeka.

Mkakati wa mapinduzi ya kilimo ambao watu wataona matunda yake na siyo kusikia TUNZO au kauli-mbiu ambazo ndani ya miaka 7 ya uongozi wa awamu ya nne ya Urais chini ya CCM wananchi wa vijijini bado ni masikini wa kutupwa, kilimo chao duni na bado tunaagiza chakula toka nje ingawa nchi ina ardhi, maji kibao

Hivi kwa Tanzania KILIMO KWANZA mkakati ktk makaratasi unasemaje???? na hapa chini tuangalie mkakati wa Rais Jimmy Carter ktk makaratasi ambao ulitekelezeka na kuleta mapinduzi ya kilimo huko USA:

The American Presidency Project

JIMMY CARTER President of the United States of America 1977- 1981

The Agricultural Credit Act of 1978, which I am signing today, gives our Nation a second important tool to improve the incomes of farmers and rural Americans. This act supplements and complements the authorities contained in the Food and Agricultural Act of 1977. That act, signed last fall, has already led to a significant improvement in the farm economy. The prices of most farm commodities have risen appreciably from their earlier depressed levels. Farm exports are higher than ever before. Farm income is expected to rise by at least $5 billion, or 25 percent, this year.

The act I am signing today will give many farmers an opportunity to refinance the debts they incurred during the past period of low prices; for some this will mean the difference between staying in farming and being driven out.

The Agricultural Credit Act of 1978 represents the most comprehensive and far-reaching farm and rural credit bill since the enactment of the Bankhead-Jones Act some 40 years ago. The revolutionary changes that have transformed agriculture during those four decades demand a new credit structure for farmers and rural people. Today's farmer must make large investments in land and machinery and operating credit. In addition, farming is a high-risk operation—a constant gamble against weather and natural disaster.

This act fulfills the modern farmer's need.

The Agricultural Credit Act of 1978 will:

—bring major credit programs of the Farmers Home Administration-farm ownership, farm operating and emergency loans—into line with the basic credit needs of modern agriculture. It does this by raising the total availability of needed credit; by increasing the loan ceilings; and by setting interest rates that reflect the cost of money;

—provide $4 billion in economic emergency loan authority to assist 60,000 or more farmers hard-pressed today because of past low prices and overburdening debt accumulated during recent periods of rising production costs. Recognizing that credit is no substitute for income, the new act does allow eligible farmers to consolidate and refinance their debts while provisions of the 1977 farm act continue to help raise prices and incomes;

—create a special low-interest FMHA farm mortgage loan program for beginning and low-income farm families;

—extend a special cattle industry credit program for 1 year through September 30, 1979;

—authorize additional expenditures for small communities for water and sewer development;

—provide, for the first time, an effective, guaranteed farm lending program which will rely on private sector financing;

—recognize that family farm corporations, farm cooperatives, and limited family partnerships are essential to the farm economy and makes them eligible for FmHA credit programs for the first time.

I am particularly proud of the spirit of cooperation between the Congress and the administration in the evolution of this bill, which made a major contribution to the success of this legislation.

I hope that this momentum can be continued and that the Congress will soon act on three other important agricultural proposals:

—ratification of the International Sugar Agreement;

—the International Emergency Wheat Reserve; and
—reform of the crop insurance/disaster payments program. With enactment of these measures, we will have completed work on the most comprehensive, most forward-looking set of farm programs since the New Deal. We are very close to the realization of this goal. For its part, the administration will redouble its efforts to reach accord on these unresolved issues. I call on Members of the Congress to join in this effort.

Note: As enacted, H.R. 11504 is Public Law 95-334, approved August 4.
Citation: Jimmy Carter: "Agricultural Credit Act of 1978 Statement on Signing H.R. 11504 Into Law. ," August 4, 1978. Online by Gerhard Peters and John T. Woolley, The American Presidency Project. Jimmy Carter: Agricultural Credit Act of 1978 Statement on Signing H.R. 11504 Into Law.

Source: Jimmy Carter: Agricultural Credit Act of 1978 Statement on Signing H.R. 11504 Into Law.
 
Ina maana hujayaona yalivyomwagika mjini?? Ni VX au GX V8 "KILIMO KWANZA", kweli kajitahidi kuyanunua, congrats Mhe President!!!

kuna watu wanataka kuwekeza katika kilimo, hivyo lazima waweke oil kwenye engine ili kilimo kifanyike, rejea kauli ya pm kwamba tulifanya makosa kuwazuia watu kuuza nje mazao yao the citizen la leo 7/9/12
 
Nionavyo mimi JK amepewa hiyo tuzo kwa kuwawakilisha waasisi wa Taifa hili kwa kuzingatia juhudi zao na dhmira ya dhati kuendeleza kilimo hapa Tanzania hasa Baba wa Taifa Mwal. Julius Nyerere. Tukumbuke ule msemo kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa taifa. Baba wa Taifa aliweka misisitizo mkubwa katika kuweka mfumo mzuri wa taaluma ya kilimo kuanzia utafiti, ughani na mafunzo. Alihakikisha Tanzania kuna chuo kikuu mahsusi kwa kilimo( Sokoine University of Agriculture), vituo vya utafiti katika kila kanda na vyuo vya mafunzo kwa ajili ya kilimo. Aidha wakati wake, uliwekwa mfumo na mahusiano mazuri kati ya mafunzo, utafiti, ughani na wakulima hadi leo ndiyo msingi wa mafanikio ya kilimo hapa Tanzania.

Tusisahau sera ya ardhi iliyoasisiwa na Baba wa taifa ni nguvu kubwa sana kwa kuwa inamwezesha kila mtanzania mwenye nia ya kulimo kumilki au kutumia ardhi kwa shughuli za kilimo. Access to land is obviously a great strength for the success witnessed in food production in Tanzania today. Uzalishaji wa mazao huonekana mkubwa kwa kuchangiwa na wakulima wengi wadogo wadogo waliopata ushauri wenye misingi ya utafiti kutoka kwa maafisa ugani kwa kuzingatia matokeo ya waafiti. Maandalizi haya ya muda mrefu yamesaidia kuweka mazingira mazuri ya kuendeleza kilmo kwa kuboresha maeneo yenye mapungufu hivyo kilimo kupiga hatua. UKIONA VINAELEA VIMEUNDWA
 
Anastahili si majuzi tuu alionyeshwa akimenya mahindi aliyovuna shambani kwa Bagamoyo?

Nkuunga mkomo. Tuzo siyo kwa uongozi bali kwa kiimo chake binafsi:). Hahahaahaa! Siku niipoona ile picha katika media akimenya mahindi na mjukuu wake nilijua haitokwisha bure.
 
Amepewa tuzo ya sera jamani sio matend. Tanzania kwa longolongo ni mwisho sana, Nyerere aliwafundisha vizuri wabongo, kila mbongo ni mashuhuri kwa longolongo. Sasa kiongozi wa wabongo ni lazima awe longolongo mkuu zaidi. Kwani sera anatunga yeye? Si kuna watu wanatunga na kumpa? Ila pangu pakavu tia mchuzi.Longolongolongolongoloooooooo!
 
Tuacheni unafiki jamani bahati mbaya wengi wenu mnaishia humuhumu kwenye mitandao wengine hata vijijini hamfiki, ukitaka kuona kama tumepiga hatua angalia hali za wakulima wadogo ambao kwa Tanzania ni karibu 80%.

Nenda kwa wakulima wa pamba na korosho waulize kama Kikwete anastahili hiyo tuzo. jambo lingine ni kwamba hiyo taasisi iliyompa hiyo tuzo ni ya wapi?

Kwa ujumla hakuna kubwa Kiwete alilofanya kwenye kilimo labda amepewa hiyo tuzo ili aendelee kusimamia ugawaji wa ardhi kwa waporaji wakubwa kwa jina la uwekezaji lakini kama ni kuinua kilimo HAPANA.
 
Nimekuuliza kwa sababu unaongea mambo kama idiot. Unauliza serikali ya awamu ya nne imefanya nini kwenye kilimo? either wewe ni idiot au hauna touch kabisa na kilimo, ndio maana nimekuuliza wewe ni mkulima? Sasa jijibu mwenyewe kundi lipi kati ya hayo mawili linakufaa...

Toa starts za outputs imeongezeka kwa kiasi gani na Ghala ya Taifa ina kiasi gani otherwise you are an IDIOT. Matrekta yaliyokuja ulikua mradi wa wajuao na wakulima wa kawaida hawawezi hata kumudu kuliendesha hata akipewa bure ukizingatia hakopesheki in Financial institutions.

Ni wakulima wangapi na mikoa gani imefaidika na kilimo kwanza in terms of productivity sio show room za Matrekta.
"SIUNGI MKONO KILIMO KWANZA, ELIMU KWANZA" by Fisadi MOJA.
 
Msihadaike huyu kapewa tuzo kwa sababu kawapa ARDHI yetu ndo maana kapewa eti Sera. Sababu ni sera mbovu kwetu ila kwao nzuri.
 
Huyo jamaa mtoa tuzo ametoka wapi? Naona alianza na Inkosikati Ntombi kisha akaenda kwa viongozi wa Afrika kusini mwa jangwa la sahara. Asije akawa anainyemelea ardhi au asije akawa ndiyee muuza matrekta yale ya Kihindi.

Yanaitwa Mahindra
 
Kuna yale matrekta ya kukokota kwa mkono yanaitwa KUBOTA sijui naona nayo yamekuwa mengi kweli kweli labda mojawapo ya vigezo.
 
Asante sana kwa kuwa na akili nzuri sana na kuona kuwa JK kapiga hatua kubwa sana kwenye kilimo wakati mwanzo wa mwaka huu watu wamelalamika njaa manyara, singida na kilimanjari hadi serikali ikaruhusu kuingizwa kkwa mchele bila ushuru toka nje. Hii njaa imetokea mwaka huu kwenye nchi ambayo rais wake amepewa tuzo kwa kuboresha kilimo mwaka huu. Asante mkuu una akili sana wewe

Unapoteza muda wako bure kuwajibu watu ambao wao wananufaika na upuuzi wa huyu mkwerree; kwao kitu chochote atakachofanya mtawala huyu, hatakama ni kwenda kupanda BEMBEA huko west Indies wataona ni kitu cha maendeleo jamaa anastahili tunzo!! Ukibishana na wehu na wewe watu watadhania na wewe ni mwehu, wapuuzie hawa jamaa!!
 
Duu Mazizi mazuri kiliko hata baadhi ya madarasa mengi nchini wanayosomea wanafunzi/watoto wetu

Mkweee concept yake ya maendeleo ya nchi ni kwa kuendeleza wanyama na vitu sio binadamu na ndio maana anasema; kuwa na magari mengi barabara ni ishara ya maendeleo.Bora kuwatengea mbwa mwitu U.S $ 450,000 ili waishi vizuri Bilia Serengeti kuliko hizo fedha kuzitumia kuchimbia visima vya maji vijijini!!
 
Sitakuwa na muda wa kukueleza kila kitu hapa. Ila waweza kufunguka macho kwa kusikiliza mara kwa mara RTD na kuangalia TBC1. Kuna vipindi vizuri sana vya mafanikio yetu kwenye kila nyanja ikiwa ni pamoja na kilimo. Utashangaa kwamba tumepiga hatua sana na dunia inasifia maendeleo yetu hususan kwenye kubadilisha kilimo.
Hii radio bado inasikilizwa na binadamu kweli? Ama kweli, hii dunia ina viumbe vingi zikiwemo takataka kama huyu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom