SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,384
- 892
Mkutano uliofanyika leo Musoma Mjini uwanja wa posta ukiongozwa na Kamanda Vincent Nyerere na mgeni wake kamanda Ezekiah Wenje ulikuwa wa aina yake kwa kweli mapokezi yalikuwa ya kutosha.
Kabla ya uchaguzi haujaisha tayari CHADEMA/UKAWA tumeshinda, Nyerere ni mbunge tena na Rais Lowassa.
Kabla ya uchaguzi haujaisha tayari CHADEMA/UKAWA tumeshinda, Nyerere ni mbunge tena na Rais Lowassa.